26 Hata hivyo, Yehova hakugeuka aiache hasira yake kali inayowaka, hiyo hasira yake ambayo iliwaka juu ya Yuda+ kwa sababu ya mambo yote yenye kutia uchungu ambayo Manase alisababisha watie uchungu.+
3 Hayo yalitendeka juu ya Yuda kwa agizo la Yehova tu, ili kuiondoa+ mbele za macho yake kwa sababu ya dhambi za Manase,+ kulingana na yote aliyokuwa ameyafanya;
4 Nami nitawafanya kuwa kitu cha kutetemesha falme zote za dunia+ kwa sababu ya Manase mwana wa Hezekia, mfalme wa Yuda, kwa sababu ya yale aliyofanya Yerusalemu.+