11 “Kwa sababu Manase+ mfalme wa Yuda amefanya machukizo+ haya, ametenda kwa uovu zaidi kuliko yote waliyotenda Waamori+ waliomtangulia, naye akasababisha Yuda watende dhambi+ kwa sanamu zake za mavi.
26 Hata hivyo, Yehova hakugeuka aiache hasira yake kali inayowaka, hiyo hasira yake ambayo iliwaka juu ya Yuda+ kwa sababu ya mambo yote yenye kutia uchungu ambayo Manase alisababisha watie uchungu.+
3 Hayo yalitendeka juu ya Yuda kwa agizo la Yehova tu, ili kuiondoa+ mbele za macho yake kwa sababu ya dhambi za Manase,+ kulingana na yote aliyokuwa ameyafanya;