Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa sababu Manase+ mfalme wa Yuda amefanya machukizo+ haya, ametenda kwa uovu zaidi kuliko yote waliyotenda Waamori+ waliomtangulia, naye akasababisha Yuda watende dhambi+ kwa sanamu zake za mavi.

  • 2 Wafalme 23:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Hata hivyo, Yehova hakugeuka aiache hasira yake kali inayowaka, hiyo hasira yake ambayo iliwaka juu ya Yuda+ kwa sababu ya mambo yote yenye kutia uchungu ambayo Manase alisababisha watie uchungu.+

  • 2 Wafalme 24:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hayo yalitendeka juu ya Yuda kwa agizo la Yehova tu, ili kuiondoa+ mbele za macho yake kwa sababu ya dhambi za Manase,+ kulingana na yote aliyokuwa ameyafanya;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki