Mwanzo 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini katika kizazi cha nne watarudi hapa,+ kwa sababu kosa la Waamori halijawa kamili bado.”+ Mambo ya Walawi 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo nchi si safi, nami nitaleta adhabu kwa ajili ya kosa lake juu yake, nayo nchi itawatapika wakaaji wake.+ Ezekieli 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nawe utasema, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameambia Yerusalemu: “Asili yako na kuzaliwa kwako ni katika nchi ya Mkanaani.+ Baba yako alikuwa Mwamori,+ na mama yako alikuwa Mhiti.+
25 Kwa hiyo nchi si safi, nami nitaleta adhabu kwa ajili ya kosa lake juu yake, nayo nchi itawatapika wakaaji wake.+
3 Nawe utasema, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameambia Yerusalemu: “Asili yako na kuzaliwa kwako ni katika nchi ya Mkanaani.+ Baba yako alikuwa Mwamori,+ na mama yako alikuwa Mhiti.+