26 Naye akatenda kwa njia yenye kuchukiza sana kwa kufuata sanamu za mavi,+ kama yale yote ambayo Waamori walikuwa wametenda, ambao Yehova aliwafukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli.’”+
11 “Kwa sababu Manase+ mfalme wa Yuda amefanya machukizo+ haya, ametenda kwa uovu zaidi kuliko yote waliyotenda Waamori+ waliomtangulia, naye akasababisha Yuda watende dhambi+ kwa sanamu zake za mavi.
16 wanapojaribu kutuzuia+ tusiseme na watu wa mataifa ili hawa waokolewe,+ matokeo yakiwa kwamba sikuzote wao hukijaza kabisa kipimo+ cha dhambi zao. Lakini ghadhabu yake mwishowe imekuja juu yao.+