Luka 11:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 “Ole wenu ninyi wenye ujuzi mwingi wa Sheria, kwa sababu mliuondoa ufunguo wa ujuzi;+ ninyi wenyewe hamkuingia, na wale wanaoingia mliwazuia!”+ Matendo 13:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Lakini Wayahudi+ wakawachochea wanawake wenye kusifika waliomwabudu Mungu na wakuu wa jiji, nao wakazusha mateso+ juu ya Paulo na Barnaba na kuwatupa nje ya mipaka yao.
52 “Ole wenu ninyi wenye ujuzi mwingi wa Sheria, kwa sababu mliuondoa ufunguo wa ujuzi;+ ninyi wenyewe hamkuingia, na wale wanaoingia mliwazuia!”+
50 Lakini Wayahudi+ wakawachochea wanawake wenye kusifika waliomwabudu Mungu na wakuu wa jiji, nao wakazusha mateso+ juu ya Paulo na Barnaba na kuwatupa nje ya mipaka yao.