34 Kwa sababu hiyo, tazameni, ninatuma+ kwenu manabii na watu wenye hekima na wafundishaji wa watu wote.+ Baadhi yao mtawaua+ na kuwatundika mtini, na baadhi yao mtawapiga mijeledi+ katika masinagogi yenu na kuwatesa jiji baada ya jiji;
5 Lakini Wayahudi wakawa na wivu,+ wakashirikiana na wanaume fulani waovu kati ya wazururaji wa sokoni na kufanyiza kikundi chenye ghasia ili kuzusha fujo jijini.+ Nao wakaishambulia nyumba ya Yasoni+ na kuanza kujaribu kuwaleta mbele ya watu wenye kufanya ghasia.
11 mateso yangu, masumbufu yangu, namna ya mambo yaliyonipata katika Antiokia,+ katika Ikoniamu,+ katika Listra,+ namna ya mateso ambayo nimevumilia; na bado Bwana alinikomboa mimi kutoka katika hayo yote.+