Luka 11:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Kwa ajili ya hili hekima+ ya Mungu ilisema pia, ‘Nitatuma kwao manabii na mitume, nao watawaua na kuwatesa baadhi yao,
49 Kwa ajili ya hili hekima+ ya Mungu ilisema pia, ‘Nitatuma kwao manabii na mitume, nao watawaua na kuwatesa baadhi yao,