Methali 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hekima ya kweli+ huendelea kulia kwa sauti kubwa barabarani.+ Hutoa sauti yake katika viwanja vya watu wote.+ Mathayo 11:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mwana wa binadamu alikuja akiwa anakula na kunywa,+ na bado watu wanasema, ‘Tazama! Mtu mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya-kodi na watenda-dhambi.’+ Hata hivyo, hekima huonyeshwa kuwa yenye uadilifu kwa matendo yake.”+
20 Hekima ya kweli+ huendelea kulia kwa sauti kubwa barabarani.+ Hutoa sauti yake katika viwanja vya watu wote.+
19 Mwana wa binadamu alikuja akiwa anakula na kunywa,+ na bado watu wanasema, ‘Tazama! Mtu mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya-kodi na watenda-dhambi.’+ Hata hivyo, hekima huonyeshwa kuwa yenye uadilifu kwa matendo yake.”+