Mathayo 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lile ninalowaambia ninyi gizani, lisemeni nuruni; na lile mnalolisikia likinong’onwa, lihubirini juu ya paa za nyumba.+ Mathayo 11:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mwana wa binadamu alikuja akiwa anakula na kunywa,+ na bado watu wanasema, ‘Tazama! Mtu mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya-kodi na watenda-dhambi.’+ Hata hivyo, hekima huonyeshwa kuwa yenye uadilifu kwa matendo yake.”+ Matendo 5:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Na kila siku katika hekalu na nyumba kwa nyumba+ wakaendelea bila kuacha kufundisha+ na kutangaza habari njema juu ya Kristo, Yesu.+
27 Lile ninalowaambia ninyi gizani, lisemeni nuruni; na lile mnalolisikia likinong’onwa, lihubirini juu ya paa za nyumba.+
19 Mwana wa binadamu alikuja akiwa anakula na kunywa,+ na bado watu wanasema, ‘Tazama! Mtu mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya-kodi na watenda-dhambi.’+ Hata hivyo, hekima huonyeshwa kuwa yenye uadilifu kwa matendo yake.”+
42 Na kila siku katika hekalu na nyumba kwa nyumba+ wakaendelea bila kuacha kufundisha+ na kutangaza habari njema juu ya Kristo, Yesu.+