Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Lile ninalowaambia ninyi gizani, lisemeni nuruni; na lile mnalolisikia likinong’onwa, lihubirini juu ya paa za nyumba.+

  • Mathayo 11:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mwana wa binadamu alikuja akiwa anakula na kunywa,+ na bado watu wanasema, ‘Tazama! Mtu mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya-kodi na watenda-dhambi.’+ Hata hivyo, hekima huonyeshwa kuwa yenye uadilifu kwa matendo yake.”+

  • Matendo 5:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Na kila siku katika hekalu na nyumba kwa nyumba+ wakaendelea bila kuacha kufundisha+ na kutangaza habari njema juu ya Kristo, Yesu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki