Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 2:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Na siku baada ya siku walikuwa wakihudhuria daima kwenye hekalu kwa umoja,+ nao walikula milo yao katika nyumba za faragha na kushiriki chakula kwa shangwe+ kuu na weupe wa moyo,

  • Matendo 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nao walipokuwa wameomba dua, mahali hapo walipokuwa wamekusanyika pamoja pakatikiswa;+ nao wote wakajazwa roho takatifu+ na wakawa wakisema neno la Mungu kwa ujasiri.+

  • Matendo 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi, Sila+ na Timotheo+ pia waliposhuka kutoka Makedonia, Paulo akaanza kushughulika sana na lile neno, akiwatolea Wayahudi ushahidi ili kuthibitisha kwamba Yesu ndiye Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki