6 Lakini Timotheo amekuja sasa hivi kutoka kwenu+ na kutupa sisi habari njema juu ya uaminifu na upendo wenu,+ na kwamba mnaendelea kutukumbuka vema sikuzote, mkitamani sana kutuona kwa njia ileile, kwa kweli, kama vile sisi pia tunavyotamani kuwaona ninyi.+