Matendo 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 wao, walipojulishwa jambo hilo, wakakimbilia+ majiji ya Likaonia, Listra na Derbe na nchi yenye kuzunguka; 2 Timotheo 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 mateso yangu, masumbufu yangu, namna ya mambo yaliyonipata katika Antiokia,+ katika Ikoniamu,+ katika Listra,+ namna ya mateso ambayo nimevumilia; na bado Bwana alinikomboa mimi kutoka katika hayo yote.+
6 wao, walipojulishwa jambo hilo, wakakimbilia+ majiji ya Likaonia, Listra na Derbe na nchi yenye kuzunguka;
11 mateso yangu, masumbufu yangu, namna ya mambo yaliyonipata katika Antiokia,+ katika Ikoniamu,+ katika Listra,+ namna ya mateso ambayo nimevumilia; na bado Bwana alinikomboa mimi kutoka katika hayo yote.+