Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 19:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa hiyo akawatuma wawili kati ya wale waliomhudumia, Timotheo+ na Erasto,+ waende Makedonia lakini yeye mwenyewe akakawia kwa wakati fulani katika wilaya ya Asia.

  • Waroma 16:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Timotheo mfanyakazi mwenzangu anawasalimu ninyi, na pia Lukio na Yasoni na Sosipata jamaa+ zangu.

  • 1 Wakorintho 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndiyo sababu ninamtuma Timotheo kwenu,+ kwa kuwa yeye ni mtoto wangu mpendwa+ na mwaminifu katika Bwana; naye atawakumbusha ninyi njia zangu kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninavyofundisha kila mahali katika kila kutaniko.

  • 1 Wathesalonike 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 nasi tukamtuma Timotheo,+ ndugu yetu na mhudumu wa Mungu katika habari njema+ juu ya Kristo, kusudi awaimarishe ninyi na kuwafariji kwa ajili ya imani yenu,

  • 1 Timotheo 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwa Timotheo,+ mtoto wangu+ kwelikweli katika imani:

      Na kuwe na fadhili zisizostahiliwa, rehema, amani kutoka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki