22 Kwa hiyo akawatuma wawili kati ya wale waliomhudumia, Timotheo+ na Erasto,+ waende Makedonia lakini yeye mwenyewe akakawia kwa wakati fulani katika wilaya ya Asia.
17 Ndiyo sababu ninamtuma Timotheo kwenu,+ kwa kuwa yeye ni mtoto wangu mpendwa+ na mwaminifu katika Bwana; naye atawakumbusha ninyi njia zangu kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninavyofundisha kila mahali katika kila kutaniko.
2 nasi tukamtuma Timotheo,+ ndugu yetu na mhudumu wa Mungu katika habari njema+ juu ya Kristo, kusudi awaimarishe ninyi na kuwafariji kwa ajili ya imani yenu,