Luka 6:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, lakini kila mtu aliyefundishwa kikamili atakuwa kama mwalimu wake.+ 2 Timotheo 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Endelea kushika kielelezo cha maneno yenye afya+ uliyosikia kutoka kwangu pamoja na imani na upendo vinavyohusiana na Kristo Yesu.+
40 Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, lakini kila mtu aliyefundishwa kikamili atakuwa kama mwalimu wake.+
13 Endelea kushika kielelezo cha maneno yenye afya+ uliyosikia kutoka kwangu pamoja na imani na upendo vinavyohusiana na Kristo Yesu.+