Wafilipi 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mambo mliyojifunza na vilevile mkayapokea na kuyasikia na kuyaona kuhusiana nami, mzoee kuyafanya hayo;+ na Mungu wa amani+ atakuwa pamoja nanyi. 2 Timotheo 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na mambo uliyoyasikia kutoka kwangu kwa uthibitisho wa mashahidi wengi,+ mambo hayo uwakabidhi watu waaminifu, ambao nao watakuwa na sifa za kustahili vya kutosha kufundisha wengine.+ 2 Timotheo 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hata hivyo, wewe endelea katika mambo uliyojifunza na uliyoshawishiwa kuamini,+ ukijua ni kutoka kwa watu gani ulijifunza hayo+
9 Mambo mliyojifunza na vilevile mkayapokea na kuyasikia na kuyaona kuhusiana nami, mzoee kuyafanya hayo;+ na Mungu wa amani+ atakuwa pamoja nanyi.
2 na mambo uliyoyasikia kutoka kwangu kwa uthibitisho wa mashahidi wengi,+ mambo hayo uwakabidhi watu waaminifu, ambao nao watakuwa na sifa za kustahili vya kutosha kufundisha wengine.+
14 Hata hivyo, wewe endelea katika mambo uliyojifunza na uliyoshawishiwa kuamini,+ ukijua ni kutoka kwa watu gani ulijifunza hayo+