3 Kama mtu yeyote akifundisha fundisho lingine+ na hakubaliani na maneno yenye afya,+ yale ya Bwana wetu Yesu Kristo, wala na fundisho ambalo linapatana na ujitoaji-kimungu,+
9 akilishika imara neno la uaminifu kuhusiana na ufundi wake wa kufundisha,+ ili aweze kuhimiza kwa fundisho lenye afya+ na pia kuwakaripia+ wale ambao hulipinga.