Methali 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana amri hiyo ni taa,+ na sheria ni nuru,+ nayo makaripio ya nidhamu ndiyo njia ya uzima,+ Waefeso 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 na mwache kushirikiana+ pamoja nao katika matendo yasiyozaa matunda, ambayo ni ya giza,+ lakini badala yake muwe hata mkiyakaripia,+ 1 Timotheo 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Watu walio na mazoea ya kutenda dhambi+ uwakaripie+ mbele ya watazamaji, ili wengine pia waogope.+ 2 Timotheo 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 lihubiri neno,+ fanya hivyo kwa bidii katika majira yanayofaa,+ katika majira yenye taabu,+ karipia,+ kemea, himiza, kwa ustahimilivu+ wote na ufundi wa kufundisha. Tito 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ushahidi huu ni kweli. Kwa sababu hiyo endelea kuwakaripia kwa ukali,+ ili wawe na afya+ katika imani, Ufunuo 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “ ‘Wale wote ninaowapenda, mimi huwakaripia na kuwatia nidhamu.+ Kwa hiyo uwe mwenye bidii na utubu.+
11 na mwache kushirikiana+ pamoja nao katika matendo yasiyozaa matunda, ambayo ni ya giza,+ lakini badala yake muwe hata mkiyakaripia,+
20 Watu walio na mazoea ya kutenda dhambi+ uwakaripie+ mbele ya watazamaji, ili wengine pia waogope.+
2 lihubiri neno,+ fanya hivyo kwa bidii katika majira yanayofaa,+ katika majira yenye taabu,+ karipia,+ kemea, himiza, kwa ustahimilivu+ wote na ufundi wa kufundisha.
13 Ushahidi huu ni kweli. Kwa sababu hiyo endelea kuwakaripia kwa ukali,+ ili wawe na afya+ katika imani,
19 “ ‘Wale wote ninaowapenda, mimi huwakaripia na kuwatia nidhamu.+ Kwa hiyo uwe mwenye bidii na utubu.+