Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana amri hiyo ni taa,+ na sheria ni nuru,+ nayo makaripio ya nidhamu ndiyo njia ya uzima,+

  • Waefeso 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 na mwache kushirikiana+ pamoja nao katika matendo yasiyozaa matunda, ambayo ni ya giza,+ lakini badala yake muwe hata mkiyakaripia,+

  • 1 Timotheo 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Watu walio na mazoea ya kutenda dhambi+ uwakaripie+ mbele ya watazamaji, ili wengine pia waogope.+

  • 2 Timotheo 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 lihubiri neno,+ fanya hivyo kwa bidii katika majira yanayofaa,+ katika majira yenye taabu,+ karipia,+ kemea, himiza, kwa ustahimilivu+ wote na ufundi wa kufundisha.

  • Tito 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ushahidi huu ni kweli. Kwa sababu hiyo endelea kuwakaripia kwa ukali,+ ili wawe na afya+ katika imani,

  • Ufunuo 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “ ‘Wale wote ninaowapenda, mimi huwakaripia na kuwatia nidhamu.+ Kwa hiyo uwe mwenye bidii na utubu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki