21 Na masikio yako yatasikia neno nyuma yako likisema: “Hii ndiyo njia.+ Tembeeni ndani yake,” iwe mtakwenda upande wa kuume au iwe mtakwenda upande wa kushoto.+
4 “Nikazieni uangalifu mimi, enyi watu wangu; nanyi kikundi changu cha taifa,+ nitegeeni sikio. Kwa maana sheria itatoka kwangu,+ nami nitaustarehesha uamuzi wangu wa hukumu kama nuru kwa vikundi vya watu.+