16 Jiangalie daima wewe mwenyewe+ na kufundisha+ kwako. Kaa katika mambo haya, kwa maana kwa kufanya hivyo utajiokoa wewe mwenyewe na wale wanaokusikiliza pia.+
3 Kama mtu yeyote akifundisha fundisho lingine+ na hakubaliani na maneno yenye afya,+ yale ya Bwana wetu Yesu Kristo, wala na fundisho ambalo linapatana na ujitoaji-kimungu,+