Methali 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwasi-imani humletea mwenzake uharibifu kwa kinywa chake,+ lakini waadilifu huokolewa kwa ujuzi.+ Yeremia 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ee Yehova, tumaini la Israeli,+ wale wote wanaokuacha watapatwa na aibu.+ Wale wanaoniasi+ wataandikwa katika mavumbi, kwa sababu wameiacha chemchemi ya maji yaliyo hai, Yehova.+ Wagalatia 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini si nyingine; isipokuwa tu kuna watu fulani wanaowataabisha+ ninyi na kutaka kupotosha habari njema juu ya Kristo.+
13 Ee Yehova, tumaini la Israeli,+ wale wote wanaokuacha watapatwa na aibu.+ Wale wanaoniasi+ wataandikwa katika mavumbi, kwa sababu wameiacha chemchemi ya maji yaliyo hai, Yehova.+
7 Lakini si nyingine; isipokuwa tu kuna watu fulani wanaowataabisha+ ninyi na kutaka kupotosha habari njema juu ya Kristo.+