Zaburi 73:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana, tazama! Walewale wanaokaa mbali nawe wataangamia.+Hakika utamnyamazisha kila mtu ambaye kwa njia isiyo ya adili anakuacha.+ Isaya 1:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na anguko la waasi na la wenye dhambi litakuwa kwa wakati uleule mmoja,+ na wale wanaomwacha Yehova watafikia mwisho wao.+
27 Kwa maana, tazama! Walewale wanaokaa mbali nawe wataangamia.+Hakika utamnyamazisha kila mtu ambaye kwa njia isiyo ya adili anakuacha.+
28 Na anguko la waasi na la wenye dhambi litakuwa kwa wakati uleule mmoja,+ na wale wanaomwacha Yehova watafikia mwisho wao.+