Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana Yehova anaijua njia ya waadilifu,+

      Bali njia ya waovu itaangamia.+

  • Zaburi 37:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini wakosaji hakika wataangamizwa pamoja;+

      Wakati ujao wa watu waovu hakika utakatiliwa mbali.+

  • Zaburi 104:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Watenda-dhambi watamalizwa kabisa kutoka duniani;+

      Nao waovu, hawatakuwapo tena.+

      Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu. Msifuni Yah!+

  • Methali 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mtu anayekaripiwa+ tena na tena lakini anayeifanya shingo yake kuwa ngumu+ atavunjika ghafula, na hivyo pasipo kuponywa.+

  • Ezekieli 20:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Nami nitasafishia mbali kutoka kwenu wale wanaoasi na wale wanaonikosea,+ kwa maana kutoka katika nchi ya makao yao ya kigeni nitawaleta, lakini hawatakuja kwenye udongo wa Israeli;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+

  • 2 Petro 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini kwa neno hilohilo mbingu+ na dunia+ za sasa zimewekwa akiba kwa ajili ya moto+ nazo zinahifadhiwa mpaka ile siku ya hukumu+ na ya kuangamizwa kwa watu wasiomwogopa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki