Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nanyi hamtaingia katika nchi ambayo niliinua mkono wangu katika kiapo+ ya kwamba nitakaa pamoja nanyi, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+

  • Ezekieli 34:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “ ‘Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amewaambia hivi: “Tazama mimi nipo hapa, mimi mwenyewe, nami nitahukumu kati ya kondoo aliyenona na kondoo aliyekonda,

  • Malaki 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye ataketi kama msafishaji na mtakasaji wa fedha+ naye atawatakasa wana wa Lawi;+ naye atawasafisha kama dhahabu+ na kama fedha, nao watakuwa kwa Yehova watu wanaotoa toleo la zawadi+ katika uadilifu.

  • Mathayo 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sepetu yake ya kupepetea imo mkononi mwake, naye atausafisha uwanja wake wa kupuria, na kukusanya ngano yake katika ghala+ lakini makapi atayateketeza kwa moto+ usioweza kuzimwa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki