Hesabu 26:65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 Kwa maana Yehova alikuwa amesema hivi juu yao: “Lazima watakufa nyikani.”+ Kwa hiyo hakubaki mtu yeyote kati yao isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+ Hesabu 32:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 isipokuwa Kalebu+ mwana wa Yefune Mkenizi na Yoshua+ mwana wa Nuni, kwa sababu wamemfuata Yehova kikamilifu.’ Kumbukumbu la Torati 1:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune.+ Yeye ataiona, nami nitampa yeye na wanawe nchi ile aliyoikanyaga, kwa sababu amemfuata Yehova kikamili.+ Kumbukumbu la Torati 1:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Yoshua mwana wa Nuni, anayesimama mbele yako, ndiye atakayeingia humo.’+ Yeye amempa nguvu,+ kwa sababu atawafanya Israeli wairithi.)
65 Kwa maana Yehova alikuwa amesema hivi juu yao: “Lazima watakufa nyikani.”+ Kwa hiyo hakubaki mtu yeyote kati yao isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+
12 isipokuwa Kalebu+ mwana wa Yefune Mkenizi na Yoshua+ mwana wa Nuni, kwa sababu wamemfuata Yehova kikamilifu.’
36 isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune.+ Yeye ataiona, nami nitampa yeye na wanawe nchi ile aliyoikanyaga, kwa sababu amemfuata Yehova kikamili.+
38 Yoshua mwana wa Nuni, anayesimama mbele yako, ndiye atakayeingia humo.’+ Yeye amempa nguvu,+ kwa sababu atawafanya Israeli wairithi.)