Kutoka 33:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye Yehova akasema na Musa uso kwa uso,+ kama vile mwanadamu anavyosema na mwenzake. Aliporudi kambini, mhudumu wake+ Yoshua, mwana wa Nuni,+ akiwa mtumishi, hakuwa akiondoka katikati ya hema. Hesabu 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo Yoshua mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa tangu ujana wake, akajibu na kusema: “Bwana wangu Musa, wazuie!”+ Hesabu 14:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Lakini Yoshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa Yefune wataendelea kuishi, kati ya wale wanaume walioenda kuipeleleza nchi.”’”+
11 Naye Yehova akasema na Musa uso kwa uso,+ kama vile mwanadamu anavyosema na mwenzake. Aliporudi kambini, mhudumu wake+ Yoshua, mwana wa Nuni,+ akiwa mtumishi, hakuwa akiondoka katikati ya hema.
28 Ndipo Yoshua mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa tangu ujana wake, akajibu na kusema: “Bwana wangu Musa, wazuie!”+
38 Lakini Yoshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa Yefune wataendelea kuishi, kati ya wale wanaume walioenda kuipeleleza nchi.”’”+