8 Mimi husema naye kinywa kwa kinywa,+ na hivyo kumwonyesha, wala si kwa vitendawili;+ naye huona sura ya Yehova.+ Kwa nini, basi, hamkuogopa kusema juu ya mtumishi wangu, juu ya Musa?”+
38 Huyo ndiye+ aliyekuja kuwa katikati ya kutaniko+ katika nyika pamoja na malaika+ aliyesema naye juu ya Mlima Sinai na pamoja na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu+ yaliyo hai ili awape ninyi.