Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 32:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Basi Yakobo akapaita mahali hapo Penieli,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mimi nimemwona Mungu uso kwa uso na bado nafsi yangu ikakombolewa.”+

  • Kutoka 33:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kisha nitauondoa mkono wangu, nawe kwa kweli utauona mgongo wangu. Lakini uso wangu hautaonekana.”+

  • Hesabu 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mimi husema naye kinywa kwa kinywa,+ na hivyo kumwonyesha, wala si kwa vitendawili;+ naye huona sura ya Yehova.+ Kwa nini, basi, hamkuogopa kusema juu ya mtumishi wangu, juu ya Musa?”+

  • Kumbukumbu la Torati 34:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini hajainuka kamwe nabii katika Israeli aliye kama Musa,+ ambaye Yehova alimjua uso kwa uso,+

  • Yohana 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa-pekee+ aliye kifuani+ pa Baba, ndiye ambaye ameeleza juu yake.+

  • Yohana 6:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Si kwamba mwanadamu yeyote amemwona Baba,+ ila yule aliyetoka kwa Mungu; huyo amemwona Baba.+

  • Matendo 7:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Huyo ndiye+ aliyekuja kuwa katikati ya kutaniko+ katika nyika pamoja na malaika+ aliyesema naye juu ya Mlima Sinai na pamoja na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu+ yaliyo hai ili awape ninyi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki