Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Uso kwa uso Yehova alisema pamoja nanyi katika mlima kutoka katikati ya moto.+

  • Isaya 63:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wakati wa taabu zao zote hilo lilimtaabisha.+ Na mjumbe wake binafsi akawaokoa.+ Katika upendo wake na katika huruma yake yeye mwenyewe aliwakomboa,+ naye akawainua na kuwachukua siku zote za zamani za kale.+

  • Matendo 7:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 ninyi mliopokea Sheria kama ilivyopitishwa na malaika+ lakini hamkuishika.”

  • Wagalatia 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi, kwa nini Sheria? Iliongezwa ili kufanya makosa yawe wazi,+ mpaka ufike uzao+ ambao ulikuwa umepewa ahadi; na ilipitishwa kupitia malaika+ kwa mkono wa mpatanishi.+

  • Waebrania 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana ikiwa neno lililosemwa kupitia malaika+ lilikuwa imara, na kila kosa na tendo la kutotii lilipokea malipo kupatana na haki;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki