9 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Tazama! Nitakujia katika wingu lenye giza,+ ili watu wapate kusikia ninaposema nawe,+ ili wapate kukuamini wewe pia mpaka wakati usio na kipimo.”+ Kisha Musa akamwambia Yehova maneno ya watu.
18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+
33 Je, kundi lingine lolote la watu limesikia sauti ya Mungu ikisema kutoka katikati ya moto jinsi ambavyo wewe mwenyewe umeisikia, nao wakaendelea kuishi?+
38 Huyo ndiye+ aliyekuja kuwa katikati ya kutaniko+ katika nyika pamoja na malaika+ aliyesema naye juu ya Mlima Sinai na pamoja na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu+ yaliyo hai ili awape ninyi.