Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Tazama! Nitakujia katika wingu lenye giza,+ ili watu wapate kusikia ninaposema nawe,+ ili wapate kukuamini wewe pia mpaka wakati usio na kipimo.”+ Kisha Musa akamwambia Yehova maneno ya watu.

  • Kutoka 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+

  • Kutoka 20:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa:+ “Hivi ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli, ‘Ninyi wenyewe mmeona kwamba nilisema nanyi kutoka mbinguni.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Je, kundi lingine lolote la watu limesikia sauti ya Mungu ikisema kutoka katikati ya moto jinsi ambavyo wewe mwenyewe umeisikia, nao wakaendelea kuishi?+

  • Matendo 7:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Huyo ndiye+ aliyekuja kuwa katikati ya kutaniko+ katika nyika pamoja na malaika+ aliyesema naye juu ya Mlima Sinai na pamoja na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu+ yaliyo hai ili awape ninyi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki