Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Nayo haya ndiyo maamuzi ya hukumu utakayoweka mbele yao:+

  • Kumbukumbu la Torati 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 kisha Yehova akanipa yale mabamba mawili ya mawe yaliyoandikwa kwa kidole cha Mungu;+ na maneno yote ambayo Yehova alikuwa amesema nanyi katika mlima kutoka katikati ya moto katika siku ya kutaniko, yalikuwa juu yake.+

  • Waroma 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ni nyingi katika kila njia. Kwanza kabisa, kwa sababu wao walikabidhiwa maneno matakatifu ya Mungu.+

  • 1 Petro 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kama yeyote akisema, na aseme kana kwamba ni maneno matakatifu+ ya Mungu; kama yeyote akihudumu,+ na ahudumu kama anayetegemea nguvu ambazo Mungu hutoa;+ ili katika mambo yote Mungu atukuzwe+ kupitia Yesu Kristo. Utukufu+ na nguvu ni zake milele na milele. Amina.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki