Kumbukumbu la Torati 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha Yehova akanipa yale mabamba mawili ya mawe yaliyoandikwa kwa kidole cha Mungu, nayo yalikuwa na maneno yote ambayo Yehova aliwaambia mlimani kutoka katika moto siku ya kusanyiko.*+
10 Kisha Yehova akanipa yale mabamba mawili ya mawe yaliyoandikwa kwa kidole cha Mungu, nayo yalikuwa na maneno yote ambayo Yehova aliwaambia mlimani kutoka katika moto siku ya kusanyiko.*+