Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 9
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 9:1

Marejeo

  • +Kum 11:31; Yos 4:19
  • +Kum 4:38; 7:1; 11:23
  • +Hes 13:28

Kumbukumbu la Torati 9:2

Marejeo

  • +Hes 13:33; Kum 1:28; 2:21

Kumbukumbu la Torati 9:3

Marejeo

  • +Kum 1:30; 20:4; 31:3; Yos 3:11
  • +Kum 4:24; Nah 1:6; Ebr 12:29
  • +Kum 7:23; 20:16
  • +Kut 23:31; Kum 7:24

Kumbukumbu la Torati 9:4

Marejeo

  • +Kum 7:8; Eze 36:22
  • +Mwa 15:16; Kum 12:31; 18:12

Kumbukumbu la Torati 9:5

Marejeo

  • +1Fa 8:46; Zb 51:5; Ro 3:23; 5:12; Tit 3:5
  • +Yer 17:9
  • +Law 18:25
  • +Mwa 13:15; 17:8
  • +Mwa 26:3
  • +Mwa 28:13

Kumbukumbu la Torati 9:6

Marejeo

  • +Kut 34:9; Zb 78:8; Isa 48:4; Mdo 7:51

Kumbukumbu la Torati 9:7

Marejeo

  • +Kum 9:22; Zb 78:40; Ebr 3:16
  • +Kut 17:2; Hes 11:4; 16:2; 25:2; Kum 31:27; 32:5; Ne 9:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/1996, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 12/1 30

Kumbukumbu la Torati 9:8

Marejeo

  • +Kut 32:4, 10; Zb 106:19

Kumbukumbu la Torati 9:9

Marejeo

  • +Kut 24:12; 31:18; 32:16
  • +Kut 24:7; Gal 4:24
  • +Kut 24:18

Kumbukumbu la Torati 9:10

Marejeo

  • +Kut 31:18; Zb 8:3; Mt 12:28; Lu 11:20
  • +Kut 19:19; Kum 4:10, 12

Kumbukumbu la Torati 9:11

Marejeo

  • +Kut 31:18; Kum 4:13

Kumbukumbu la Torati 9:12

Marejeo

  • +Kut 32:7; Kum 4:16
  • +Kut 32:4

Kumbukumbu la Torati 9:13

Marejeo

  • +Kut 32:9

Kumbukumbu la Torati 9:14

Marejeo

  • +Kut 32:10
  • +Kum 7:24; Zb 9:5
  • +Hes 14:12

Kumbukumbu la Torati 9:15

Marejeo

  • +Kut 19:18; Kum 4:11
  • +Kut 32:15

Kumbukumbu la Torati 9:16

Marejeo

  • +Mdo 7:40
  • +Kut 20:3, 4; Kum 5:8; Mdo 7:41

Kumbukumbu la Torati 9:17

Marejeo

  • +Kut 32:19

Kumbukumbu la Torati 9:18

Marejeo

  • +Kut 34:28
  • +Ne 9:18

Kumbukumbu la Torati 9:19

Marejeo

  • +Kut 32:10
  • +Kut 32:11, 14; Kum 10:10; Zb 106:23

Kumbukumbu la Torati 9:20

Marejeo

  • +Kut 32:2, 21, 35
  • +Met 15:29; Yak 5:16

Kumbukumbu la Torati 9:21

Marejeo

  • +Kut 32:4
  • +Kut 32:20; Isa 30:22

Kumbukumbu la Torati 9:22

Marejeo

  • +Hes 11:3
  • +Kut 17:7; Kum 6:16
  • +Hes 11:4, 34
  • +Kum 9:7

Kumbukumbu la Torati 9:23

Marejeo

  • +Hes 13:26; Kum 1:19
  • +Hes 14:3, 4; Isa 63:10
  • +Kum 1:32; Zb 106:24; Ebr 3:19
  • +Zb 106:25

Kumbukumbu la Torati 9:24

Marejeo

  • +Kum 31:27; Mdo 7:51

Kumbukumbu la Torati 9:25

Marejeo

  • +Kut 34:28; Kum 9:18; Mt 4:2
  • +Kum 9:19

Kumbukumbu la Torati 9:26

Marejeo

  • +Zb 99:6; Met 15:29; Yak 5:16
  • +Kut 19:5; Kum 32:9; Zb 135:4; Amo 3:2
  • +1Fa 8:51
  • +Kut 32:11; Zb 99:6

Kumbukumbu la Torati 9:27

Marejeo

  • +Kut 3:6; 6:8; Kum 9:5
  • +Kut 32:31; Zb 78:8; Mik 7:18

Kumbukumbu la Torati 9:28

Marejeo

  • +Kum 5:6
  • +Kut 32:12; Hes 14:16; Zb 115:2

Kumbukumbu la Torati 9:29

Marejeo

  • +Kum 4:20; 1Fa 8:51; Ne 1:10; Zb 74:2; 95:7; 100:3
  • +Kut 6:6; Kum 4:34; Isa 63:12

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 9:1Kum 11:31; Yos 4:19
Kum. 9:1Kum 4:38; 7:1; 11:23
Kum. 9:1Hes 13:28
Kum. 9:2Hes 13:33; Kum 1:28; 2:21
Kum. 9:3Kum 1:30; 20:4; 31:3; Yos 3:11
Kum. 9:3Kum 4:24; Nah 1:6; Ebr 12:29
Kum. 9:3Kum 7:23; 20:16
Kum. 9:3Kut 23:31; Kum 7:24
Kum. 9:4Kum 7:8; Eze 36:22
Kum. 9:4Mwa 15:16; Kum 12:31; 18:12
Kum. 9:51Fa 8:46; Zb 51:5; Ro 3:23; 5:12; Tit 3:5
Kum. 9:5Yer 17:9
Kum. 9:5Law 18:25
Kum. 9:5Mwa 13:15; 17:8
Kum. 9:5Mwa 26:3
Kum. 9:5Mwa 28:13
Kum. 9:6Kut 34:9; Zb 78:8; Isa 48:4; Mdo 7:51
Kum. 9:7Kum 9:22; Zb 78:40; Ebr 3:16
Kum. 9:7Kut 17:2; Hes 11:4; 16:2; 25:2; Kum 31:27; 32:5; Ne 9:16
Kum. 9:8Kut 32:4, 10; Zb 106:19
Kum. 9:9Kut 24:12; 31:18; 32:16
Kum. 9:9Kut 24:7; Gal 4:24
Kum. 9:9Kut 24:18
Kum. 9:10Kut 31:18; Zb 8:3; Mt 12:28; Lu 11:20
Kum. 9:10Kut 19:19; Kum 4:10, 12
Kum. 9:11Kut 31:18; Kum 4:13
Kum. 9:12Kut 32:7; Kum 4:16
Kum. 9:12Kut 32:4
Kum. 9:13Kut 32:9
Kum. 9:14Kut 32:10
Kum. 9:14Kum 7:24; Zb 9:5
Kum. 9:14Hes 14:12
Kum. 9:15Kut 19:18; Kum 4:11
Kum. 9:15Kut 32:15
Kum. 9:16Mdo 7:40
Kum. 9:16Kut 20:3, 4; Kum 5:8; Mdo 7:41
Kum. 9:17Kut 32:19
Kum. 9:18Kut 34:28
Kum. 9:18Ne 9:18
Kum. 9:19Kut 32:10
Kum. 9:19Kut 32:11, 14; Kum 10:10; Zb 106:23
Kum. 9:20Kut 32:2, 21, 35
Kum. 9:20Met 15:29; Yak 5:16
Kum. 9:21Kut 32:4
Kum. 9:21Kut 32:20; Isa 30:22
Kum. 9:22Hes 11:3
Kum. 9:22Kut 17:7; Kum 6:16
Kum. 9:22Hes 11:4, 34
Kum. 9:22Kum 9:7
Kum. 9:23Hes 13:26; Kum 1:19
Kum. 9:23Hes 14:3, 4; Isa 63:10
Kum. 9:23Kum 1:32; Zb 106:24; Ebr 3:19
Kum. 9:23Zb 106:25
Kum. 9:24Kum 31:27; Mdo 7:51
Kum. 9:25Kut 34:28; Kum 9:18; Mt 4:2
Kum. 9:25Kum 9:19
Kum. 9:26Zb 99:6; Met 15:29; Yak 5:16
Kum. 9:26Kut 19:5; Kum 32:9; Zb 135:4; Amo 3:2
Kum. 9:261Fa 8:51
Kum. 9:26Kut 32:11; Zb 99:6
Kum. 9:27Kut 3:6; 6:8; Kum 9:5
Kum. 9:27Kut 32:31; Zb 78:8; Mik 7:18
Kum. 9:28Kum 5:6
Kum. 9:28Kut 32:12; Hes 14:16; Zb 115:2
Kum. 9:29Kum 4:20; 1Fa 8:51; Ne 1:10; Zb 74:2; 95:7; 100:3
Kum. 9:29Kut 6:6; Kum 4:34; Isa 63:12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 9:1-29

Kumbukumbu la Torati

9 “Sikia, Ee Israeli, leo unavuka Yordani+ uingie ndani na kuyafukuza mataifa makubwa zaidi na yenye nguvu zaidi kuliko wewe,+ majiji makubwa na yenye ngome zinazofika mbinguni,+ 2 watu wakubwa na warefu, wana wa Waanaki,+ ambao umejua na kusikia ikisemwa juu yao, ‘Ni nani anayeweza kusimama imara mbele ya wana wa Anaki?’ 3 Nawe unajua vema leo kwamba Yehova Mungu wako anavuka mbele yako.+ Yeye ni moto unaoteketeza.+ Atawaangamiza hao,+ na yeye mwenyewe atawatiisha mbele yenu; nanyi mtawafukuza na kuwaharibu haraka, kama vile ambavyo Yehova amesema nanyi.+

4 “Usiseme hivi moyoni mwako wakati ambapo Yehova Mungu wako atawasukumia mbali kutoka mbele yako, ‘Kwa sababu ya uadilifu wangu mwenyewe Yehova amenileta ndani niimiliki nchi hii,’+ ingawa ni kwa sababu ya uovu wa mataifa haya kwamba Yehova anawafukuzia mbali kutoka mbele yako.+ 5 Hutaimiliki nchi yao kwa sababu ya uadilifu+ wako wala kwa sababu ya unyoofu wa moyo wako;+ kwa kweli, Yehova anayafukuzia mbali mataifa haya kutoka mbele yako+ kwa sababu ya uovu wao, na ili kulitimiza neno ambalo Yehova aliwaapia mababu zako, Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo.+ 6 Nawe ni lazima ujue kwamba Yehova Mungu wako hakupi wewe nchi hii nzuri uimiliki kwa sababu ya uadilifu wako; kwa maana ninyi ni watu wenye shingo ngumu.+

7 “Kumbuka: Usisahau jinsi ambavyo umemchokoza Yehova Mungu wako nyikani.+ Tangu siku uliyotoka katika nchi ya Misri mpaka mlipofika mahali hapa ninyi mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova.+ 8 Hata katika Horebu mlimfanya Yehova akasirike hivi kwamba Yehova akapandwa na hasira kufikia hatua ya kuwaangamiza ninyi.+ 9 Nilipoenda juu mlimani nikapokee yale mabamba ya mawe,+ mabamba ya agano ambalo Yehova alikuwa amefanya pamoja nanyi,+ nami nikaendelea kukaa mlimani siku 40, mchana na usiku,+ (sikula mkate wala kunywa maji,) 10 kisha Yehova akanipa yale mabamba mawili ya mawe yaliyoandikwa kwa kidole cha Mungu;+ na maneno yote ambayo Yehova alikuwa amesema nanyi katika mlima kutoka katikati ya moto katika siku ya kutaniko, yalikuwa juu yake.+ 11 Na ikawa kwamba mwishoni mwa zile siku 40, mchana na usiku, Yehova akanipa yale mabamba mawili ya mawe, mabamba ya agano;+ 12 na Yehova akaniambia, ‘Ondoka, shuka upesi kutoka hapa, kwa sababu watu wako uliowatoa Misri wametenda kwa uharibifu.+ Wamegeuka kando upesi kutoka katika njia ambayo niliwaamuru. Wamejifanyia wenyewe sanamu ya kuyeyushwa.’+ 13 Naye Yehova akaniambia hivi, ‘Nimewaona watu hawa, na, tazama! ni watu wenye shingo ngumu.+ 14 Niache nipate kuwaangamiza+ na kufagilia mbali jina lao kutoka chini ya mbingu,+ na acha nikufanye wewe kuwa taifa lenye nguvu zaidi na lenye hesabu kubwa zaidi ya watu kuliko walivyo.’+

15 “Kisha nikageuka na kushuka kutoka mlimani, huku mlima ukiwaka moto;+ na yale mabamba mawili ya agano yalikuwa katika mikono yangu miwili.+ 16 Halafu nikaangalia, na tazama, ninyi mlikuwa mmemtendea dhambi Yehova Mungu wenu! Mlikuwa mmejifanyia wenyewe ndama wa kuyeyushwa.+ Mlikuwa mmegeuka kando upesi kutoka katika njia ambayo Yehova alikuwa amewaamuru ninyi.+ 17 Ndipo nikashika yale mabamba mawili, nikayatupa chini kutoka katika mikono yangu miwili, nikayavunja mbele ya macho yenu.+ 18 Nami nikajilaza kifudifudi mbele za Yehova, kama mara ya kwanza, siku 40, mchana na usiku. Sikula mkate wala kunywa maji,+ kwa sababu ya dhambi zenu zote mlizokuwa mmetenda kwa kutenda uovu machoni pa Yehova ili kumtia uchungu.+ 19 Kwa maana niliogopa kwa sababu ya hasira kali ambayo Yehova alikuwa ameghadhibika kuwaelekea ninyi kufikia hatua ya kuwaangamiza ninyi.+ Hata hivyo, Yehova alinisikiliza pia wakati huo.+

20 “Yehova pia akamkasirikia sana Haruni kufikia hatua ya kumwangamiza;+ lakini niliomba dua+ pia kwa ajili ya Haruni wakati huo. 21 Nayo dhambi yenu mliyoitenda, yule ndama,+ nilimchukua, nikamteketeza katika moto na kumponda-ponda, nikamsaga kabisa mpaka akawa mavumbi laini; kisha nikayatupa mavumbi yake katika mto unaoteremka kutoka mlimani.+

22 “Na zaidi ya hayo, huko Tabera+ na huko Masa+ na huko Kibroth-hataava+ mlimkasirisha Yehova.+ 23 Na Yehova alipowatuma kutoka Kadesh-barnea,+ na kusema, ‘Pandeni mwimiliki nchi ambayo nitawapa ninyi!’ ndipo mkaasi agizo la Yehova Mungu wenu,+ nanyi hamkumwamini+ wala hamkuisikiliza sauti yake.+ 24 Mmejionyesha kuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova+ tangu siku niliyowajua ninyi.

25 “Kwa hiyo nikaendelea kujilaza kifudifudi mbele za Yehova siku 40, mchana na usiku,+ kwa maana nilijilaza kifudifudi hivyo kwa sababu Yehova alizungumza juu ya kuwaangamiza ninyi.+ 26 Nami nikaanza kuomba dua+ kwa Yehova na kusema, ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, usiwaharibu watu wako, mali yako binafsi,+ uliowakomboa kwa ukuu wako, ambao uliwatoa Misri+ kwa mkono wenye nguvu.+ 27 Uwakumbuke watumishi wako Abrahamu, Isaka na Yakobo.+ Usiugeuze uso wako kuelekea ugumu wa watu hawa na uovu wao na dhambi yao,+ 28 ili nchi+ uliyotutoa ndani yake isije ikasema: “Kwa sababu Yehova hakuweza kuwaingiza katika nchi aliyokuwa amewaapia, na kwa sababu aliwachukia, ndiyo maana aliwatoa ili apate kuwaua nyikani.”+ 29 Wao pia ni watu wako na mali yako+ binafsi ambayo ulitoa kwa nguvu zako kuu na kwa mkono wako ulionyooshwa.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki