Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini katika kizazi cha nne watarudi hapa,+ kwa sababu kosa la Waamori halijawa kamili bado.”+

  • Kumbukumbu la Torati 12:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Usimfanyie hivyo Yehova Mungu wako,+ kwa maana kila kitu kinachochukiza kwa Yehova, ambacho anachukia wameifanyia miungu yao, kwa maana hata wana wao na binti zao wao huwateketeza motoni kwa ukawaida kwa ajili ya miungu yao.+

  • Kumbukumbu la Torati 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana kila mtu anayefanya mambo hayo ni chukizo kwa Yehova, na kwa sababu ya machukizo hayo, Yehova Mungu wako anawafukuza kutoka mbele yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki