Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “‘Msijifanye wenyewe kuwa wasio safi kwa lolote la mambo hayo, kwa sababu kwa mambo yote hayo mataifa ninayoyafukuza kutoka mbele yenu yamejifanya yenyewe kuwa si safi.+

  • Kumbukumbu la Torati 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Usiseme hivi moyoni mwako wakati ambapo Yehova Mungu wako atawasukumia mbali kutoka mbele yako, ‘Kwa sababu ya uadilifu wangu mwenyewe Yehova amenileta ndani niimiliki nchi hii,’+ ingawa ni kwa sababu ya uovu wa mataifa haya kwamba Yehova anawafukuzia mbali kutoka mbele yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki