Kutoka 32:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa nini Wamisri+ waseme, ‘Aliwatoa kwa nia mbaya ili awaue katikati ya milima na kuwaangamiza kutoka katika uso wa nchi’?+ Geukia mbali uiache hasira yako inayowaka+ na ujute+ kuhusu uovu huo juu ya watu wako. Hesabu 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 ‘Kwa sababu Yehova hakuweza kuwaleta watu hawa katika nchi ambayo aliwaapia, aliwaua nyikani.’+ Zaburi 115:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa nini mataifa yaseme:+“Yuko wapi, sasa, Mungu wao?”+
12 Kwa nini Wamisri+ waseme, ‘Aliwatoa kwa nia mbaya ili awaue katikati ya milima na kuwaangamiza kutoka katika uso wa nchi’?+ Geukia mbali uiache hasira yako inayowaka+ na ujute+ kuhusu uovu huo juu ya watu wako.