28 ili nchi+ uliyotutoa ndani yake isije ikasema: “Kwa sababu Yehova hakuweza kuwaingiza katika nchi aliyokuwa amewaapia, na kwa sababu aliwachukia, ndiyo maana aliwatoa ili apate kuwaua nyikani.”+
9 Nao Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watasikia habari hizi, nao hakika watatuzunguka na kulikatilia mbali jina letu kutoka duniani;+ nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+