1 Samweli 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Yehova hatawaacha+ watu wake kwa ajili ya jina lake kuu,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+ Ezekieli 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini nilitenda kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisitiwe unajisi mbele ya macho ya mataifa, ambao nilikuwa nimewatoa mbele ya macho yao.+
22 Kwa maana Yehova hatawaacha+ watu wake kwa ajili ya jina lake kuu,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+
14 Lakini nilitenda kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisitiwe unajisi mbele ya macho ya mataifa, ambao nilikuwa nimewatoa mbele ya macho yao.+