5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+
7 “Yehova hakuwaonyesha upendo hivi kwamba akawachagua kwa sababu mlikuwa kikundi chenye hesabu kubwa zaidi ya watu kuliko vikundi vyote,+ kwa maana ninyi ndio mliokuwa kikundi chenye watu wachache zaidi.+
2 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu+ kwa Yehova Mungu wenu, naye Yehova amewachagua ninyi muwe watu wake, mali ya pekee,+ kutoka kati ya vikundi vyote vya watu vilivyo kwenye uso wa nchi.