1 Samweli 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo Samweli akachukua chupa+ ya mafuta na kuyamimina juu ya kichwa chake, akambusu+ na kusema: “Je, si kwa sababu Yehova amekutia mafuta uwe kiongozi+ juu ya urithi wake?+ Zaburi 74:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulikumbuke kusanyiko lako ulilojipatia zamani za kale,+Kabila ulilolikomboa liwe urithi wako,+Huu Mlima Sayuni ambapo umekaa.+ Zaburi 78:71 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 71 Aache kuwafuata wale wa kike wanaonyonyesha+Akamleta awe mchungaji juu ya Yakobo watu wake+Na juu ya Israeli, urithi wake.+
10 Ndipo Samweli akachukua chupa+ ya mafuta na kuyamimina juu ya kichwa chake, akambusu+ na kusema: “Je, si kwa sababu Yehova amekutia mafuta uwe kiongozi+ juu ya urithi wake?+
2 Ulikumbuke kusanyiko lako ulilojipatia zamani za kale,+Kabila ulilolikomboa liwe urithi wako,+Huu Mlima Sayuni ambapo umekaa.+
71 Aache kuwafuata wale wa kike wanaonyonyesha+Akamleta awe mchungaji juu ya Yakobo watu wake+Na juu ya Israeli, urithi wake.+