Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 31:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Hata hivyo, Labani akaamka asubuhi na mapema, akawabusu+ watoto wake na binti zake, akawabariki.+ Kisha Labani akaondoka akarudi kwake.+

  • Mwanzo 48:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sasa macho ya Israeli yalikuwa yamefifia kutokana na uzee.+ Hakuweza kuona. Basi akawaleta karibu naye, naye akawabusu na kuwakumbatia.+

  • Mwanzo 50:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Ndipo Yosefu akauangukia uso wa baba yake,+ akamlilia na kumbusu.+

  • 2 Samweli 19:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Sasa watu wote wakaanza kuvuka Yordani, naye mfalme akavuka; lakini mfalme akambusu+ Barzilai na kumbariki,+ kisha akarudi mahali pake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki