Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 31:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Hata hivyo, Labani akaamka asubuhi na mapema, akawabusu+ watoto wake na binti zake, akawabariki.+ Kisha Labani akaondoka akarudi kwake.+

  • Ruthu 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi wakapaaza sauti zao na kulia tena, halafu Orpa akambusu mama-mkwe wake. Bali Ruthu akashikamana naye.+

  • 1 Samweli 20:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Yule mtumishi akaenda. Naye Daudi akasimama kutoka hapo karibu na upande wa kusini. Kisha akaanguka kifudifudi+ na kuinama mara tatu; nao wakaanza kubusiana+ na kuliliana, mpaka ikawa Daudi ndiye aliyelia zaidi.+

  • 1 Wafalme 19:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ndipo akawaacha wale ng’ombe, akakimbia kumfuata Eliya na kusema: “Tafadhali, acha nimbusu baba yangu na mama yangu.+ Kisha nitakufuata.” Naye akamwambia: “Nenda, rudi; kwa maana mimi nimekufanyia nini?”

  • Matendo 20:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kwa kweli, wote wakalia sana, nao wakamwangukia Paulo shingoni+ na kumbusu+ kwa wororo,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki