Mwanzo 43:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wakajibu, wakasema: “Mtumishi wako baba yetu anaendelea vema. Angali hai.” Kisha wakainama na kulala kifudifudi.+ 1 Samweli 24:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Daudi akainuka baadaye, akatoka nje ya lile pango na kumwita Sauli, akisema: “Bwana wangu+ mfalme!” Ndipo Sauli akatazama nyuma, naye Daudi akainama kifudifudi,+ akasujudu. 1 Samweli 25:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Abigaili alipomwona Daudi, akafanya haraka mara moja, akashuka kutoka juu ya yule punda, akaanguka kifudifudi mbele ya Daudi, akainama+ chini. 2 Samweli 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wakati Mefiboshethi mwana wa Yonathani mwana wa Sauli alipoingia kwa Daudi, akaanguka mara moja kifudifudi, akasujudu.+ Ndipo Daudi akasema: “Mefiboshethi!” naye akajibu: “Mimi hapa, mtumishi wako.”
28 Wakajibu, wakasema: “Mtumishi wako baba yetu anaendelea vema. Angali hai.” Kisha wakainama na kulala kifudifudi.+
8 Basi Daudi akainuka baadaye, akatoka nje ya lile pango na kumwita Sauli, akisema: “Bwana wangu+ mfalme!” Ndipo Sauli akatazama nyuma, naye Daudi akainama kifudifudi,+ akasujudu.
23 Abigaili alipomwona Daudi, akafanya haraka mara moja, akashuka kutoka juu ya yule punda, akaanguka kifudifudi mbele ya Daudi, akainama+ chini.
6 Wakati Mefiboshethi mwana wa Yonathani mwana wa Sauli alipoingia kwa Daudi, akaanguka mara moja kifudifudi, akasujudu.+ Ndipo Daudi akasema: “Mefiboshethi!” naye akajibu: “Mimi hapa, mtumishi wako.”