Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 24
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli 24:1

Marejeo

  • +1Sa 23:28
  • +1Sa 23:29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1989, kur. 16-17

1 Samweli 24:2

Marejeo

  • +1Sa 13:2
  • +Zb 37:32; 38:12
  • +Zb 104:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni Imani Yao, makala 3

1 Samweli 24:3

Marejeo

  • +Kum 23:13; Amu 3:24; 1Fa 18:27
  • +Zb 57:utangulizi; 142:utangulizi

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1989, uku. 16

1 Samweli 24:4

Marejeo

  • +1Sa 26:8, 23
  • +Met 24:29; Mt 7:12

1 Samweli 24:5

Marejeo

  • +2Sa 24:10; Ro 2:15; 1Yo 3:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, uku. 18

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2007, uku. 22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 10/15 22

1 Samweli 24:6

Marejeo

  • +1Sa 26:11; 2Sa 1:14
  • +Kut 22:28; 1Nya 16:22; Zb 105:15; Mdo 23:5

1 Samweli 24:7

Marejeo

  • +Law 19:18; Zb 7:4; Mt 5:44; Ro 12:17, 19, 21

1 Samweli 24:8

Marejeo

  • +1Sa 26:17
  • +1Sa 20:41; 25:23; Ro 12:10; 13:7

1 Samweli 24:9

Marejeo

  • +Law 19:16; 1Sa 26:19; Zb 101:5; Met 16:28; 17:4

1 Samweli 24:10

Marejeo

  • +1Sa 24:4
  • +1Sa 9:16; 10:1; 26:9; Zb 105:15

1 Samweli 24:11

Marejeo

  • +1Sa 18:27; 22:14; Met 15:1; 25:15
  • +1Sa 26:18; Zb 7:3; 35:7
  • +1Sa 23:14; Zb 140:1

1 Samweli 24:12

Marejeo

  • +1Sa 26:23; Zb 7:8
  • +Kum 32:35; Zb 94:1; Nah 1:2; Ro 12:19; Ebr 10:30
  • +1Sa 26:11

1 Samweli 24:13

Marejeo

  • +Mwa 4:7; Met 11:5; Mt 7:17; Gal 6:7

1 Samweli 24:14

Marejeo

  • +1Sa 17:43; 2Sa 9:8; Met 22:4; Mt 23:12
  • +1Sa 26:20

1 Samweli 24:15

Marejeo

  • +Zb 35:1; 43:1; 119:154; Mik 7:9

1 Samweli 24:16

Marejeo

  • +1Sa 26:17
  • +Mwa 27:38

1 Samweli 24:17

Marejeo

  • +1Sa 26:21
  • +Met 25:21; Ro 12:17

1 Samweli 24:18

Marejeo

  • +1Sa 24:4, 10; 26:8

1 Samweli 24:19

Marejeo

  • +Mt 5:44; Ro 12:17
  • +1Sa 26:25; 2Nya 16:9; Zb 18:20

1 Samweli 24:20

Marejeo

  • +1Sa 13:14; 15:28; 18:8; 20:31; 23:17

1 Samweli 24:21

Marejeo

  • +Law 19:12; Kum 6:13
  • +2Sa 9:1; 21:7

1 Samweli 24:22

Marejeo

  • +1Sa 15:34
  • +1Sa 23:29; Met 14:15; Mt 10:16

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 24:11Sa 23:28
1 Sam. 24:11Sa 23:29
1 Sam. 24:21Sa 13:2
1 Sam. 24:2Zb 37:32; 38:12
1 Sam. 24:2Zb 104:18
1 Sam. 24:3Kum 23:13; Amu 3:24; 1Fa 18:27
1 Sam. 24:3Zb 57:utangulizi; 142:utangulizi
1 Sam. 24:41Sa 26:8, 23
1 Sam. 24:4Met 24:29; Mt 7:12
1 Sam. 24:52Sa 24:10; Ro 2:15; 1Yo 3:20
1 Sam. 24:61Sa 26:11; 2Sa 1:14
1 Sam. 24:6Kut 22:28; 1Nya 16:22; Zb 105:15; Mdo 23:5
1 Sam. 24:7Law 19:18; Zb 7:4; Mt 5:44; Ro 12:17, 19, 21
1 Sam. 24:81Sa 26:17
1 Sam. 24:81Sa 20:41; 25:23; Ro 12:10; 13:7
1 Sam. 24:9Law 19:16; 1Sa 26:19; Zb 101:5; Met 16:28; 17:4
1 Sam. 24:101Sa 24:4
1 Sam. 24:101Sa 9:16; 10:1; 26:9; Zb 105:15
1 Sam. 24:111Sa 18:27; 22:14; Met 15:1; 25:15
1 Sam. 24:111Sa 26:18; Zb 7:3; 35:7
1 Sam. 24:111Sa 23:14; Zb 140:1
1 Sam. 24:121Sa 26:23; Zb 7:8
1 Sam. 24:12Kum 32:35; Zb 94:1; Nah 1:2; Ro 12:19; Ebr 10:30
1 Sam. 24:121Sa 26:11
1 Sam. 24:13Mwa 4:7; Met 11:5; Mt 7:17; Gal 6:7
1 Sam. 24:141Sa 17:43; 2Sa 9:8; Met 22:4; Mt 23:12
1 Sam. 24:141Sa 26:20
1 Sam. 24:15Zb 35:1; 43:1; 119:154; Mik 7:9
1 Sam. 24:161Sa 26:17
1 Sam. 24:16Mwa 27:38
1 Sam. 24:171Sa 26:21
1 Sam. 24:17Met 25:21; Ro 12:17
1 Sam. 24:181Sa 24:4, 10; 26:8
1 Sam. 24:19Mt 5:44; Ro 12:17
1 Sam. 24:191Sa 26:25; 2Nya 16:9; Zb 18:20
1 Sam. 24:201Sa 13:14; 15:28; 18:8; 20:31; 23:17
1 Sam. 24:21Law 19:12; Kum 6:13
1 Sam. 24:212Sa 9:1; 21:7
1 Sam. 24:221Sa 15:34
1 Sam. 24:221Sa 23:29; Met 14:15; Mt 10:16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 24:1-22

1 Samweli

24 Na ikawa kwamba mara tu Sauli aliporudi baada ya kuwafuatilia Wafilisti,+ wakamletea habari, wakisema: “Tazama! Daudi yuko katika nyika ya En-gedi.”+

2 Na Sauli akachukua watu elfu tatu waliochaguliwa+ kutoka katika Israeli yote kwenda kumtafuta Daudi+ na watu wake juu ya miamba iliyo wazi ya mbuzi wa milimani.+ 3 Mwishowe akafika kwenye mazizi ya mawe ya kondoo kando ya barabara, mahali ambapo palikuwa na pango. Basi Sauli akaingia ndani kwenda haja,+ huku Daudi na watu wake wakiwa katika sehemu za nyuma kabisa za pango hilo,+ wakiwa wameketi. 4 Na watu wa Daudi wakaanza kumwambia: “Hii ndiyo siku ambayo Yehova anakuambia, ‘Tazama! Ninamtia adui yako mkononi mwako,+ nawe umtendee kama inavyoonekana vema machoni pako.’”+ Kwa hiyo Daudi akasimama, akakata kimyakimya upindo wa koti lisilo na mikono la Sauli. 5 Lakini baadaye moyo wa Daudi ukaendelea kumchoma+ kwa sababu alikuwa amekata upindo wa lile koti la Sauli. 6 Basi akawaambia watu wake: “Ni jambo lisilowaziwa kwangu, kwa maoni ya Yehova, kwamba nimfanyie bwana wangu jambo hili, mtiwa-mafuta+ wa Yehova, kwa kunyoosha mkono wangu juu yake, kwa kuwa yeye ni mtiwa-mafuta wa Yehova.”+ 7 Kwa hiyo Daudi akawatawanya watu wake kwa maneno hayo, naye hakuwaruhusu wamshambulie Sauli.+ Naye Sauli akainuka kutoka katika lile pango na kwenda zake.

8 Basi Daudi akainuka baadaye, akatoka nje ya lile pango na kumwita Sauli, akisema: “Bwana wangu+ mfalme!” Ndipo Sauli akatazama nyuma, naye Daudi akainama kifudifudi,+ akasujudu. 9 Na Daudi akaendelea kumwambia Sauli: “Kwa nini unayasikiliza maneno ya watu,+ wakisema, ‘Tazama! Daudi anatafuta kukudhuru’? 10 Tazama, leo macho yako yameona jinsi Yehova alivyokutia leo mkononi mwangu ndani ya pango; na mtu fulani alisema nikuue,+ lakini nikakusikitikia, nikasema, ‘Sitanyoosha mkono wangu juu ya bwana wangu, kwa maana yeye ni mtiwa-mafuta+ wa Yehova.’ 11 Basi ona baba yangu,+ ndiyo, ona mkononi mwangu upindo wa koti lako lisilo na mikono, kwa sababu nilipokata upindo wa koti lako, sikukuua. Ujue na kuona kwamba hakuna ubaya+ wowote wala maasi mkononi mwangu, nami sikutenda dhambi juu yako, huku wewe ukiivizia nafsi yangu ili kuiondolea mbali.+ 12 Yehova na ahukumu kati yangu na wewe;+ na Yehova anilipizie kisasi+ kutoka kwako, lakini mkono wangu mwenyewe hautakuja juu yako.+ 13 Kama vile inavyosema methali ya watu wa kale, ‘Katika waovu uovu utatoka,’+ lakini mkono wangu mwenyewe hautakuja juu yako. 14 Je, mfalme wa Israeli ametoka nje kumfuata nani? Unamfuatilia nani? Mbwa aliyekufa?+ Kiroboto mmoja?+ 15 Na Yehova atakuwa mwamuzi, naye atahukumu kati yangu na wewe, naye ataona na kufanya kesi+ kwa ajili yangu na kunihukumu ili kuniweka huru kutoka mkononi mwako.”

16 Na ikawa kwamba, mara tu Daudi alipomaliza kumwambia Sauli maneno hayo, Sauli akasema: “Je, hii ni sauti yako, Daudi mwanangu?”+ Naye Sauli akapaaza sauti yake, akalia.+ 17 Naye akamwambia Daudi: “Wewe ni mwadilifu kuliko mimi,+ kwa maana wewe ndiye umenitendea mema,+ nami ndiye nimekutendea uovu. 18 Nawe umefunua leo mema ambayo umenitendea kwa maana Yehova alinitia mkononi mwako,+ nawe hukuniua. 19 Kwa maana, mtu akimpata adui yake, je, atamwacha ashike njia aende zake salama?+ Basi Yehova mwenyewe atakupa thawabu ya mema,+ kwa kuwa leo umenitendea hivyo. 20 Na sasa tazama! Najua vema bila shaka kwamba wewe utatawala ukiwa mfalme,+ na kwamba ufalme wa Israeli utadumu mkononi mwako. 21 Basi sasa niapie kwa Yehova+ kwamba hutaukatilia mbali uzao wangu baada yangu na kwamba hutaliangamiza jina langu kutoka katika nyumba ya baba yangu.”+ 22 Kwa hiyo Daudi akamwapia Sauli, kisha Sauli akaenda nyumbani kwake.+ Naye Daudi na watu wake wakapanda, wakaenda mahali palipo pagumu kufikiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki