1 Samweli 24:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ni mtu gani anayempata adui yake na kumwacha aende zake bila kumdhuru? Yehova atakuthawabisha wewe kwa mema+ kwa sababu ya mambo uliyonifanyia leo.
19 Ni mtu gani anayempata adui yake na kumwacha aende zake bila kumdhuru? Yehova atakuthawabisha wewe kwa mema+ kwa sababu ya mambo uliyonifanyia leo.