Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nawe unapaswa kuwa na kijiti cha kuchimbia kwa ajili ya matumizi yako pamoja na vifaa vyako, na itatukia kwamba utakapochutama nje, utachimba shimo pia kwa hicho na kugeuka na kufunika mavi yako.+

  • Waamuzi 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Naye akatoka nje.+

      Na watumishi wa mfalme wakaja na kuanza kuangalia, na tazama, milango ya chumba cha dari ilikuwa imefungwa kwa ufunguo. Kwa hiyo wakasema: “Ameenda haja+ katika chumba chake cha ndani chenye baridi.”

  • 1 Wafalme 18:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na ikawa kwamba ilipofika katikati ya mchana Eliya akaanza kuwafanyia dhihaka+ na kusema: “Iteni kwa sauti kubwa, kwa maana yeye ni mungu;+ kwa maana lazima iwe ana kazi fulani, naye ana kinyesi+ na lazima aende chooni.+ Au pengine amelala usingizi naye anapaswa kuamka!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki