Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 18
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wafalme 18:1

Marejeo

  • +Lu 4:25; Yak 5:17
  • +Zb 65:9, 10; Yer 14:22; Mt 5:45

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2008, uku. 19

    4/1/1992, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 4/1 19

1 Wafalme 18:2

Marejeo

  • +Law 26:26; Kum 28:24; Omb 4:9

1 Wafalme 18:3

Marejeo

  • +Mwa 24:2; 39:4
  • +Met 8:13; 14:26; Mal 3:16; Mdo 10:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2006, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 10/1 20

1 Wafalme 18:4

Marejeo

  • +1Fa 16:31
  • +Ne 9:26; Zb 105:15
  • +Met 19:17; Mt 10:42

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2006, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 10/1 20

1 Wafalme 18:5

Marejeo

  • +Zb 104:14
  • +Yer 14:5; Yoe 1:18

1 Wafalme 18:6

Marejeo

  • +Yer 14:3

1 Wafalme 18:7

Marejeo

  • +2Fa 1:8
  • +1Sa 25:23
  • +2Fa 8:12

1 Wafalme 18:8

Marejeo

  • +1Pe 2:17

1 Wafalme 18:9

Marejeo

  • +1Fa 17:18

1 Wafalme 18:10

Marejeo

  • +Kum 6:13; 1Fa 1:29
  • +1Fa 17:3, 9

1 Wafalme 18:12

Marejeo

  • +2Fa 2:16; Eze 3:12; Mt 4:1; Mdo 8:39
  • +Met 16:14
  • +Zb 18:21; 71:17; Met 8:13; Mhu 7:18; 12:1; Isa 50:10

1 Wafalme 18:13

Marejeo

  • +1Fa 18:4
  • +Mt 25:35

1 Wafalme 18:14

Marejeo

  • +Met 22:3

1 Wafalme 18:15

Marejeo

  • +Kum 6:13; Isa 49:18
  • +1Sa 4:4; Zb 24:10

1 Wafalme 18:17

Marejeo

  • +Mdo 24:13; 2Pe 2:10; Yud 8

1 Wafalme 18:18

Marejeo

  • +Yos 7:25
  • +Eze 3:8
  • +Kut 20:4; 1Fa 9:9; Yer 2:13
  • +1Fa 16:31

1 Wafalme 18:19

Marejeo

  • +Yos 19:26; 2Fa 2:25; Yer 46:18; Amo 1:2
  • +Eze 13:3
  • +1Fa 16:33
  • +1Fa 19:1

1 Wafalme 18:20

Marejeo

  • +1Fa 22:6

1 Wafalme 18:21

Marejeo

  • +Kum 4:35; 2Fa 17:41; Isa 42:8; Yer 2:11; Ho. 10:2; Mt 12:30; 1Ko 10:21; 2Ko 6:14
  • +Kut 20:5; Yos 24:15; 1Sa 7:3; Zb 100:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 46

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    3/2017, kur. 14-15

    Igeni, kur. 86-87

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2008, uku. 19

    12/15/2005, kur. 24-29

    7/1/2005, kur. 30-31

    1/1/1998, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 1/1 19; w05 7/1 30-31; w05 12/15 24-29; w98 1/1 30

1 Wafalme 18:22

Marejeo

  • +1Fa 19:10

1 Wafalme 18:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 87

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2008, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 1/1 19

1 Wafalme 18:24

Marejeo

  • +Amu 6:31
  • +Kum 4:24
  • +Law 9:24; Amu 6:21; 1Nya 21:26; 2Nya 7:1

1 Wafalme 18:26

Marejeo

  • +Zb 115:7
  • +Zb 115:5; 135:16; Isa 44:18; 45:20; Yer 10:5; Da 5:23; Hab 2:18; 1Ko 8:4; 10:19; 12:2

1 Wafalme 18:27

Marejeo

  • +Yer 10:15
  • +Isa 41:23
  • +Mt 15:17
  • +Amu 3:24; 1Sa 24:3
  • +Zb 121:4; 135:17; Isa 40:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 88

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2008, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 1/1 20

1 Wafalme 18:28

Marejeo

  • +Law 19:28; Kum 14:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/1998, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 1/1 30

1 Wafalme 18:29

Marejeo

  • +1Sa 18:10; 1Fa 22:10
  • +Isa 44:20; Gal 4:8

1 Wafalme 18:30

Marejeo

  • +1Fa 19:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 88-90

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2008, uku. 20

    12/15/2005, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 1/1 20; w05 12/15 26

1 Wafalme 18:31

Marejeo

  • +Kut 24:4; Yos 4:3
  • +Mwa 32:28; 33:20; 35:10; 2Fa 17:34; Isa 48:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 88-90

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2008, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 1/1 20

1 Wafalme 18:32

Marejeo

  • +Kut 20:25; Kum 27:6
  • +Mwa 13:18; Kum 12:27; 1Fa 18:24

1 Wafalme 18:33

Marejeo

  • +Mwa 22:9; Law 1:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/1998, kur. 30-31

    Kitabu kwa Wote, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 1/1 31; ba 17

1 Wafalme 18:34

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kitabu kwa Wote, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    ba 17

1 Wafalme 18:35

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kitabu kwa Wote, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    ba 17

1 Wafalme 18:36

Marejeo

  • +Kut 29:41; Zb 141:2; Mdo 3:1
  • +Mwa 26:24; 2Nya 20:7
  • +Mwa 28:13; 31:53; 32:9; 46:3
  • +1Nya 29:18; Mt 22:32
  • +Kut 20:2; Zb 83:18; Eze 36:23
  • +Hes 16:28; 2Sa 7:21; Yoh 11:42

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 90

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    10/1/2010, kur. 4-5

    1/1/2008, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 10/1 4-5; w08 1/1 20

1 Wafalme 18:37

Marejeo

  • +2Nya 14:11; Zb 96:5; Isa 44:6; Da 4:37
  • +Yer 31:18; Eze 18:32; 33:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 90

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    10/1/2010, kur. 4-5

    1/1/2008, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 10/1 4-5; w08 1/1 20

1 Wafalme 18:38

Marejeo

  • +Law 9:24; Amu 6:21; 2Nya 7:1
  • +1Fa 18:23
  • +1Fa 18:24

1 Wafalme 18:39

Marejeo

  • +2Nya 7:3; Yak 4:10

1 Wafalme 18:40

Marejeo

  • +Amu 5:21; Zb 83:9
  • +Kum 13:5; 18:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 90-91

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2008, kur. 20-21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 1/1 20-21

1 Wafalme 18:41

Marejeo

  • +Mhu 9:7
  • +1Fa 17:1; Zek 10:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 93, 94-95

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2008, kur. 17-18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 4/1 17-18

1 Wafalme 18:42

Marejeo

  • +Yos 7:6; Yak 5:16
  • +Zb 89:7; Ebr 12:28; Yak 5:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 93-94

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2008, kur. 17-18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 4/1 17-18

1 Wafalme 18:43

Marejeo

  • +Lu 18:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 94-95

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2008, kur. 18-19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 4/1 18-19

1 Wafalme 18:44

Marejeo

  • +Lu 12:54
  • +Mik 1:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 95-97

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2009, kur. 15-16

    4/1/2008, kur. 18-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 1/1 15-16; w08 4/1 19-20

1 Wafalme 18:45

Marejeo

  • +Zb 107:25; 147:18; Yak 5:18
  • +1Sa 12:18; Ayu 38:37; Zb 68:9
  • +Yos 19:18; 1Fa 21:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 97-98

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2008, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 4/1 20

1 Wafalme 18:46

Marejeo

  • +Isa 8:11; Eze 3:14
  • +Kut 12:11; 2Fa 4:29; 9:1; 1Pe 1:13
  • +1Sa 8:11; 1Pe 2:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 98-99

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 18

    4/1/2008, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 18; w08 4/1 20

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Fal. 18:1Lu 4:25; Yak 5:17
1 Fal. 18:1Zb 65:9, 10; Yer 14:22; Mt 5:45
1 Fal. 18:2Law 26:26; Kum 28:24; Omb 4:9
1 Fal. 18:3Mwa 24:2; 39:4
1 Fal. 18:3Met 8:13; 14:26; Mal 3:16; Mdo 10:2
1 Fal. 18:41Fa 16:31
1 Fal. 18:4Ne 9:26; Zb 105:15
1 Fal. 18:4Met 19:17; Mt 10:42
1 Fal. 18:5Zb 104:14
1 Fal. 18:5Yer 14:5; Yoe 1:18
1 Fal. 18:6Yer 14:3
1 Fal. 18:72Fa 1:8
1 Fal. 18:71Sa 25:23
1 Fal. 18:72Fa 8:12
1 Fal. 18:81Pe 2:17
1 Fal. 18:91Fa 17:18
1 Fal. 18:10Kum 6:13; 1Fa 1:29
1 Fal. 18:101Fa 17:3, 9
1 Fal. 18:122Fa 2:16; Eze 3:12; Mt 4:1; Mdo 8:39
1 Fal. 18:12Met 16:14
1 Fal. 18:12Zb 18:21; 71:17; Met 8:13; Mhu 7:18; 12:1; Isa 50:10
1 Fal. 18:131Fa 18:4
1 Fal. 18:13Mt 25:35
1 Fal. 18:14Met 22:3
1 Fal. 18:15Kum 6:13; Isa 49:18
1 Fal. 18:151Sa 4:4; Zb 24:10
1 Fal. 18:17Mdo 24:13; 2Pe 2:10; Yud 8
1 Fal. 18:18Yos 7:25
1 Fal. 18:18Eze 3:8
1 Fal. 18:18Kut 20:4; 1Fa 9:9; Yer 2:13
1 Fal. 18:181Fa 16:31
1 Fal. 18:19Yos 19:26; 2Fa 2:25; Yer 46:18; Amo 1:2
1 Fal. 18:19Eze 13:3
1 Fal. 18:191Fa 16:33
1 Fal. 18:191Fa 19:1
1 Fal. 18:201Fa 22:6
1 Fal. 18:21Kum 4:35; 2Fa 17:41; Isa 42:8; Yer 2:11; Ho. 10:2; Mt 12:30; 1Ko 10:21; 2Ko 6:14
1 Fal. 18:21Kut 20:5; Yos 24:15; 1Sa 7:3; Zb 100:3
1 Fal. 18:221Fa 19:10
1 Fal. 18:24Amu 6:31
1 Fal. 18:24Kum 4:24
1 Fal. 18:24Law 9:24; Amu 6:21; 1Nya 21:26; 2Nya 7:1
1 Fal. 18:26Zb 115:7
1 Fal. 18:26Zb 115:5; 135:16; Isa 44:18; 45:20; Yer 10:5; Da 5:23; Hab 2:18; 1Ko 8:4; 10:19; 12:2
1 Fal. 18:27Yer 10:15
1 Fal. 18:27Isa 41:23
1 Fal. 18:27Mt 15:17
1 Fal. 18:27Amu 3:24; 1Sa 24:3
1 Fal. 18:27Zb 121:4; 135:17; Isa 40:28
1 Fal. 18:28Law 19:28; Kum 14:1
1 Fal. 18:291Sa 18:10; 1Fa 22:10
1 Fal. 18:29Isa 44:20; Gal 4:8
1 Fal. 18:301Fa 19:14
1 Fal. 18:31Kut 24:4; Yos 4:3
1 Fal. 18:31Mwa 32:28; 33:20; 35:10; 2Fa 17:34; Isa 48:1
1 Fal. 18:32Kut 20:25; Kum 27:6
1 Fal. 18:32Mwa 13:18; Kum 12:27; 1Fa 18:24
1 Fal. 18:33Mwa 22:9; Law 1:7
1 Fal. 18:36Kut 29:41; Zb 141:2; Mdo 3:1
1 Fal. 18:36Mwa 26:24; 2Nya 20:7
1 Fal. 18:36Mwa 28:13; 31:53; 32:9; 46:3
1 Fal. 18:361Nya 29:18; Mt 22:32
1 Fal. 18:36Kut 20:2; Zb 83:18; Eze 36:23
1 Fal. 18:36Hes 16:28; 2Sa 7:21; Yoh 11:42
1 Fal. 18:372Nya 14:11; Zb 96:5; Isa 44:6; Da 4:37
1 Fal. 18:37Yer 31:18; Eze 18:32; 33:11
1 Fal. 18:38Law 9:24; Amu 6:21; 2Nya 7:1
1 Fal. 18:381Fa 18:23
1 Fal. 18:381Fa 18:24
1 Fal. 18:392Nya 7:3; Yak 4:10
1 Fal. 18:40Amu 5:21; Zb 83:9
1 Fal. 18:40Kum 13:5; 18:20
1 Fal. 18:41Mhu 9:7
1 Fal. 18:411Fa 17:1; Zek 10:1
1 Fal. 18:42Yos 7:6; Yak 5:16
1 Fal. 18:42Zb 89:7; Ebr 12:28; Yak 5:17
1 Fal. 18:43Lu 18:7
1 Fal. 18:44Lu 12:54
1 Fal. 18:44Mik 1:13
1 Fal. 18:45Zb 107:25; 147:18; Yak 5:18
1 Fal. 18:451Sa 12:18; Ayu 38:37; Zb 68:9
1 Fal. 18:45Yos 19:18; 1Fa 21:1
1 Fal. 18:46Isa 8:11; Eze 3:14
1 Fal. 18:46Kut 12:11; 2Fa 4:29; 9:1; 1Pe 1:13
1 Fal. 18:461Sa 8:11; 1Pe 2:17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wafalme 18:1-46

1 Wafalme

18 Na ikawa kwamba baada ya siku nyingi neno la Yehova likamjia Eliya katika mwaka wa tatu, na kusema: “Nenda, jionyeshe kwa Ahabu, kwa kuwa nimeazimia kunyesha mvua+ juu ya uso wa nchi.”+ 2 Basi Eliya akaenda kujionyesha kwa Ahabu, njaa ilipokuwa kali+ katika Samaria.

3 Wakati huo Ahabu akamwita Obadia, aliyekuwa akiisimamia nyumba.+ (Basi Obadia alikuwa amejionyesha kuwa mtu anayemwogopa+ Yehova sana. 4 Na ikawa kwamba Yezebeli+ alipowakatilia mbali manabii+ wa Yehova, Obadia aliwachukua manabii 100, akawaficha wakiwa vikundi viwili vya watu 50 pangoni, naye akawapa mkate na maji.)+ 5 Na Ahabu akamwambia Obadia: “Tembea katika nchi kwenye mabubujiko yote ya maji na kwenye mabonde yote ya mito. Labda tutapata majani mabichi,+ ili tuwahifadhi hai farasi na nyumbu na ili wanyama zaidi wasiangamie.”+ 6 Kwa hiyo wakagawana nchi ambayo wangepita katikati yake. Ahabu akaenda peke yake kupitia njia moja, na Obadia akaenda peke yake kupitia njia nyingine.+

7 Obadia alipoendelea kusafiri njiani, tazama, Eliya akija kumpokea.+ Mara moja akamtambua, akaanguka kifudifudi,+ akasema: “Je, ni wewe, bwana wangu+ Eliya?” 8 Naye akamwambia: “Ni mimi. Nenda, mwambie bwana wako,+ ‘Tazama, Eliya yupo hapa.’” 9 Lakini akasema: “Nimetenda dhambi gani+ ndipo umtie mtumishi wako mkononi mwa Ahabu, aniue? 10 Kama anavyoishi Yehova Mungu wako,+ hakuna taifa wala ufalme ambapo bwana wangu hajawatuma watu wakutafute. Waliposema, ‘Hayupo hapa,’ akafanya ufalme na taifa kuapa kwamba hawakuweza kukupata.+ 11 Na sasa unasema, ‘Nenda, mwambie bwana wako: “Tazama, Eliya yupo hapa.”’ 12 Na hakika itatukia kwamba, mimi nikiondoka kwako, ndipo roho+ ya Yehova itakapokuchukua na kukupeleka mahali ambapo mimi sitajua; nami nitakuwa nimekuja kumwambia Ahabu, naye hatakupata, naye hakika ataniua,+ kwa kuwa mtumishi wako amemwogopa Yehova tangu ujana wake.+ 13 Je, bwana wangu hakuambiwa yale niliyofanya wakati Yezebeli alipowaua manabii wa Yehova, jinsi nilivyowaficha baadhi ya manabii wa Yehova, watu 100 wakiwa vikundi viwili vya watu 50 pangoni,+ nikaendelea kuwapa mkate na maji?+ 14 Na sasa unasema, ‘Nenda, mwambie bwana wako: “Tazama, Eliya yupo hapa.”’ Naye hakika ataniua.”+ 15 Hata hivyo, Eliya akasema: “Kama anavyoishi+ Yehova wa majeshi+ ambaye ninasimama mbele zake, leo nitajionyesha kwake.”

16 Basi Obadia akaenda kukutana na Ahabu, akamwambia; na kwa hiyo Ahabu akaenda kukutana na Eliya.

17 Na ikawa kwamba, mara tu Ahabu alipomwona Eliya, mara moja Ahabu akamwambia: “Je, ni wewe, mtu unayeleta taabu juu ya Israeli?”+

18 Naye akasema: “Mimi sikuleta taabu juu ya Israeli,+ lakini ni wewe na nyumba ya baba yako,+ kwa sababu ninyi mmeziacha amri za Yehova,+ nawe ukaanza kufuata Mabaali.+ 19 Na sasa tuma watu, unikusanyie Israeli wote katika Mlima Karmeli+ na pia wale manabii 450 wa Baali+ na wale manabii 400 wa ule mti mtakatifu,+ wanaokula mezani pa Yezebeli.”+ 20 Na Ahabu akatuma watu kati ya wana wote wa Israeli, akawakusanya wale manabii+ katika Mlima Karmeli.

21 Kisha Eliya akawakaribia watu wote na kusema: “Mtayumba-yumba juu ya maoni mawili tofauti mpaka wakati gani?+ Ikiwa Yehova ndiye Mungu wa kweli, mfuateni yeye;+ lakini ikiwa ni Baali, mfuateni yeye.” Na watu hawakumjibu neno lolote. 22 Na Eliya akaendelea kuwaambia watu: “Mimi tu nimebaki nikiwa nabii wa Yehova,+ mimi peke yangu, nao manabii wa Baali ni watu 450. 23 Sasa na watupe sisi ng’ombe-dume wachanga wawili, nao wajichagulie ng’ombe-dume mmoja mchanga, wamkate vipande-vipande na kumweka juu ya kuni, lakini wasiziwashe moto. Na mimi nitamtayarisha yule ng’ombe mchanga mwingine, nami nitamweka juu ya kuni, lakini sitaziwasha moto. 24 Nanyi mliitie jina la mungu wenu,+ nami, kwa upande wangu, nitaliitia jina la Yehova; na itatukia kwamba yule Mungu wa kweli atakayejibu kupitia moto,+ huyo ndiye Mungu wa kweli.”+ Kwa hiyo watu wote wakajibu na kusema: “Jambo hili ni jema.”

25 Sasa Eliya akawaambia manabii wa Baali: “Jichagulieni ng’ombe mchanga mmoja, halafu mkamtayarishe kwanza, kwa sababu ninyi ndio wengi; nanyi mliitie jina la mungu wenu, lakini msiwashe moto.” 26 Basi wakamchukua yule ng’ombe mchanga aliyewapa. Kisha wakamtayarisha, nao wakaendelea kuliitia jina la Baali kutoka asubuhi mpaka katikati ya mchana, wakisema: “Ee Baali, tupe jibu!” Lakini hapakuwa na sauti yoyote,+ wala hakuna yeyote aliyetoa jibu.+ Nao wakazidi kurukaruka kuizunguka madhabahu waliyokuwa wameitengeneza. 27 Na ikawa kwamba ilipofika katikati ya mchana Eliya akaanza kuwafanyia dhihaka+ na kusema: “Iteni kwa sauti kubwa, kwa maana yeye ni mungu;+ kwa maana lazima iwe ana kazi fulani, naye ana kinyesi+ na lazima aende chooni.+ Au pengine amelala usingizi naye anapaswa kuamka!”+ 28 Nao wakaanza kuita kwa sauti yao yote, wakijikatakata+ kwa visu na mikuki kulingana na desturi yao, mpaka walipojitiririsha damu. 29 Na ikawa kwamba mara tu mchana ulipokwisha nao wakazidi kutenda kama manabii+ mpaka wakati wa kutolewa kwa toleo la nafaka, hapakuwa na sauti yoyote, wala hapakuwa na yeyote aliyejibu, wala aliyewasikiliza.+

30 Mwishowe Eliya akawaambia watu wote: “Nikaribieni.” Basi watu wote wakamkaribia. Kisha akatengeneza ile madhabahu ya Yehova iliyokuwa imebomoka.+ 31 Basi Eliya akachukua mawe kumi na mawili, kulingana na hesabu ya makabila ya wana wa Yakobo, ambaye neno la Yehova lilikuwa limemjia,+ likisema: “Jina lako litakuwa Israeli.”+ 32 Naye akafanyiza mawe yakawa madhabahu+ kwa jina la Yehova,+ akachimba mtaro wenye ukubwa wa kama sehemu inayopandwa vipimo viwili vya sea vya mbegu, kuizunguka madhabahu yote. 33 Kisha akapanga kwa utaratibu zile kuni,+ akamkata yule ng’ombe mchanga vipande-vipande na kumweka juu ya zile kuni. Sasa akasema: “Jazeni maji mitungi mikubwa minne, myamwage juu ya toleo la kuteketezwa na juu ya kuni.” 34 Kisha akasema: “Fanyeni hivyo tena.” Basi wakafanya hivyo tena. Lakini akasema: “Fanyeni hivyo mara ya tatu.” Basi wakafanya hivyo mara ya tatu. 35 Kwa hiyo maji yakaizunguka ile madhabahu yote, na pia ule mtaro akaujaza maji.

36 Na ikawa kwamba wakati+ wa kutolewa kwa toleo la nafaka, Eliya nabii akaanza kukaribia na kusema: “Ee Yehova Mungu wa Abrahamu,+ Isaka+ na Israeli,+ leo na ijulikane kwamba wewe ni Mungu katika Israeli+ na mimi ni mtumishi wako na ni kwa neno+ lako nimefanya mambo haya yote. 37 Unijibu, Ee Yehova, unijibu, ili watu hawa wajue kwamba wewe, Yehova,+ ndiye Mungu wa kweli na wewe mwenyewe umeugeuza moyo wao urudi.”+

38 Ndipo moto+ wa Yehova ukashuka, ukala lile toleo la kuteketezwa+ na zile kuni na mawe na mavumbi, nao ukaramba maji yaliyokuwa katika mtaro.+ 39 Watu wote walipoona jambo lile, wakaanguka kifudifudi+ mara moja, na kusema: “Yehova ndiye Mungu wa kweli! Yehova ndiye Mungu wa kweli!” 40 Kisha Eliya akawaambia: “Wakamateni manabii wa Baali! Msiache hata mmoja wao aponyoke!” Ndipo wakawakamata mara moja, na Eliya akawashusha mpaka kwenye bonde la mto la Kishoni,+ akawaua huko.+

41 Sasa Eliya akamwambia Ahabu: “Panda ukale na kunywa;+ kwa maana kuna kishindo cha machafuko ya mvua kubwa.”+ 42 Na Ahabu akapanda, akaenda zake kula na kunywa. Naye Eliya akapanda juu ya Karmeli na kuanza kuchutama chini,+ akaweka uso wake katikati ya magoti yake.+ 43 Kisha akamwambia mtumishi wake: “Nenda juu, tafadhali. Tazama upande wa bahari.” Basi akaenda juu, akatazama na kisha akasema: “Hakuna kitu chochote.” Naye akaendelea kusema, “Rudi,” mara saba.+ 44 Na ikawa kwamba mara ya saba akasema: “Tazama! Pana wingu dogo kama kiganja cha mkono wa mwanadamu linalopanda kutoka baharini.”+ Sasa akasema: “Nenda juu, mwambie Ahabu, ‘Funga gari!+ Nawe ushuke ili mvua kubwa isikuzuie!’” 45 Na ikawa kwamba wakati huo mbingu zikatiwa giza kwa mawingu na upepo+ na mvua kubwa sana ikaanza kunyesha.+ Na Ahabu akaendelea kupanda gari, akaenda zake Yezreeli.+ 46 Na mkono wa Yehova ukawa juu ya Eliya,+ hivi kwamba akajifunga viuno,+ naye akakimbia mbele ya Ahabu mpaka Yezreeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki