Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wafalme 17:1

Marejeo

  • +1Fa 17:16, 22; 18:36, 46; 2Fa 2:8, 11; 2Nya 21:12; Lu 1:17; Yoh 1:21
  • +Yos 22:9; 2Fa 10:33
  • +Kum 6:13; 1Sa 19:6; 1Fa 22:14; 2Fa 3:14; Yer 12:16
  • +Kum 10:8; Lu 1:19
  • +Law 26:21; Kum 28:23
  • +Yer 14:22; Lu 4:25; Yak 5:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/1992, uku. 17

    11/1/1990, uku. 16

1 Wafalme 17:2

Marejeo

  • +Hes 12:6

1 Wafalme 17:3

Marejeo

  • +Zb 31:20; 83:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/1992, kur. 18-19

1 Wafalme 17:4

Marejeo

  • +Zb 110:7
  • +Zb 147:9; Ro 8:28
  • +Zb 37:5, 25; Mt 6:11; 2Pe 2:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/1992, kur. 18-19

1 Wafalme 17:5

Marejeo

  • +Zb 119:60; Met 3:5

1 Wafalme 17:6

Marejeo

  • +Hes 11:23; Amu 15:19; Zb 37:19

1 Wafalme 17:7

Marejeo

  • +1Fa 18:5; Ayu 6:15

1 Wafalme 17:8

Marejeo

  • +Zb 36:10

1 Wafalme 17:9

Marejeo

  • +Oba 20; Lu 4:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2014, kur. 13-14

    4/1/1992, kur. 18-19

1 Wafalme 17:10

Marejeo

  • +Mwa 24:17; Mt 10:42; Yoh 4:7; Ebr 11:37

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2014, uku. 13

1 Wafalme 17:11

Marejeo

  • +Mwa 18:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2014, uku. 13

1 Wafalme 17:12

Marejeo

  • +Kum 6:13; Yer 4:2
  • +Mwa 18:6
  • +Mt 15:33
  • +2Fa 4:2
  • +Omb 4:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2014, uku. 14

1 Wafalme 17:13

Marejeo

  • +Isa 41:10
  • +Met 3:9; Mt 19:21; 1Pe 1:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2014, uku. 14

1 Wafalme 17:14

Marejeo

  • +Zb 34:10; Met 3:10; Flp 4:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2014, uku. 14

1 Wafalme 17:15

Marejeo

  • +2Nya 20:20; Mt 10:41; Lu 4:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2014, kur. 14-15

1 Wafalme 17:16

Marejeo

  • +Zb 37:19; Met 11:24; Lu 18:27; 2Ko 9:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2014, kur. 14-15

1 Wafalme 17:17

Marejeo

  • +Mwa 2:7; 2Fa 4:20; Ayu 34:14; Mhu 9:11

1 Wafalme 17:18

Marejeo

  • +2Sa 16:10; 19:22; 2Fa 3:13; Mt 8:29; Mk 1:24; Yoh 2:4
  • +Ayu 13:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2014, uku. 15

1 Wafalme 17:19

Marejeo

  • +2Fa 4:10; Mdo 9:37
  • +2Fa 4:21, 32

1 Wafalme 17:20

Marejeo

  • +1Fa 18:36; Zb 99:6; Mt 21:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2014, uku. 15

1 Wafalme 17:21

Marejeo

  • +2Fa 4:34; Mdo 20:10
  • +Mwa 35:18; Yer 15:9

1 Wafalme 17:22

Marejeo

  • +Zb 65:2; Met 15:8; Mdo 9:40; Ebr 11:19; Yak 5:16
  • +Kum 32:39; 1Sa 2:6; 2Fa 4:34; 13:21; Lu 7:15; 8:55; Yoh 5:28; 11:44; Mdo 9:41; 20:10; Ro 14:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2007, kur. 4-5

    4/1/1999, uku. 16

    Tunapokufa, uku. 23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 7/15 4-5; w99 4/1 16; ie 23

1 Wafalme 17:23

Marejeo

  • +Ebr 11:35

1 Wafalme 17:24

Marejeo

  • +Yoh 3:2
  • +1Th 2:13; 1Yo 2:21

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Fal. 17:11Fa 17:16, 22; 18:36, 46; 2Fa 2:8, 11; 2Nya 21:12; Lu 1:17; Yoh 1:21
1 Fal. 17:1Yos 22:9; 2Fa 10:33
1 Fal. 17:1Kum 6:13; 1Sa 19:6; 1Fa 22:14; 2Fa 3:14; Yer 12:16
1 Fal. 17:1Kum 10:8; Lu 1:19
1 Fal. 17:1Law 26:21; Kum 28:23
1 Fal. 17:1Yer 14:22; Lu 4:25; Yak 5:17
1 Fal. 17:2Hes 12:6
1 Fal. 17:3Zb 31:20; 83:3
1 Fal. 17:4Zb 110:7
1 Fal. 17:4Zb 147:9; Ro 8:28
1 Fal. 17:4Zb 37:5, 25; Mt 6:11; 2Pe 2:9
1 Fal. 17:5Zb 119:60; Met 3:5
1 Fal. 17:6Hes 11:23; Amu 15:19; Zb 37:19
1 Fal. 17:71Fa 18:5; Ayu 6:15
1 Fal. 17:8Zb 36:10
1 Fal. 17:9Oba 20; Lu 4:26
1 Fal. 17:10Mwa 24:17; Mt 10:42; Yoh 4:7; Ebr 11:37
1 Fal. 17:11Mwa 18:5
1 Fal. 17:12Kum 6:13; Yer 4:2
1 Fal. 17:12Mwa 18:6
1 Fal. 17:12Mt 15:33
1 Fal. 17:122Fa 4:2
1 Fal. 17:12Omb 4:9
1 Fal. 17:13Isa 41:10
1 Fal. 17:13Met 3:9; Mt 19:21; 1Pe 1:7
1 Fal. 17:14Zb 34:10; Met 3:10; Flp 4:19
1 Fal. 17:152Nya 20:20; Mt 10:41; Lu 4:25
1 Fal. 17:16Zb 37:19; Met 11:24; Lu 18:27; 2Ko 9:10
1 Fal. 17:17Mwa 2:7; 2Fa 4:20; Ayu 34:14; Mhu 9:11
1 Fal. 17:182Sa 16:10; 19:22; 2Fa 3:13; Mt 8:29; Mk 1:24; Yoh 2:4
1 Fal. 17:18Ayu 13:26
1 Fal. 17:192Fa 4:10; Mdo 9:37
1 Fal. 17:192Fa 4:21, 32
1 Fal. 17:201Fa 18:36; Zb 99:6; Mt 21:22
1 Fal. 17:212Fa 4:34; Mdo 20:10
1 Fal. 17:21Mwa 35:18; Yer 15:9
1 Fal. 17:22Zb 65:2; Met 15:8; Mdo 9:40; Ebr 11:19; Yak 5:16
1 Fal. 17:22Kum 32:39; 1Sa 2:6; 2Fa 4:34; 13:21; Lu 7:15; 8:55; Yoh 5:28; 11:44; Mdo 9:41; 20:10; Ro 14:9
1 Fal. 17:23Ebr 11:35
1 Fal. 17:24Yoh 3:2
1 Fal. 17:241Th 2:13; 1Yo 2:21
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wafalme 17:1-24

1 Wafalme

17 Na Eliya+ Mtishbi kutoka kwa wakaaji wa Gileadi+ akamwambia Ahabu: “Kama anavyoishi+ Yehova Mungu wa Israeli, ambaye ninasimama mbele zake,+ miaka hii hakutakuwa na umande wala mvua,+ isipokuwa kwa agizo la neno langu!”+

2 Basi neno+ la Yehova likamjia, na kusema: 3 “Ondoka hapa, ugeuke, ushike njia kwenda upande wa mashariki, ujifiche+ kwenye bonde la mto la Kerithi lililoko mashariki mwa Yordani. 4 Na itatukia kwamba unapaswa kunywa+ kutoka katika hilo bonde la mto, nami nitawaamuru kunguru+ wakuletee chakula huko.”+ 5 Naye akaenda mara moja na kufanya kulingana na neno la Yehova,+ na kwa hiyo akaenda, akaanza kukaa kando ya lile bonde la mto la Kerithi lililoko mashariki mwa Yordani. 6 Na kunguru wakamletea mkate na nyama wakati wa asubuhi na mkate na nyama wakati wa jioni, naye akaendelea kunywa maji katika lile bonde la mto.+ 7 Lakini ikawa kwamba baada ya siku kadhaa, lile bonde la mto likakauka,+ kwa sababu mvua haikuwa imenyesha juu ya dunia.

8 Basi neno la Yehova likamjia, na kusema:+ 9 “Ondoka, nenda Sarefathi,+ wa Sidoni, nawe ukae huko. Tazama! Nitamwamuru mwanamke fulani huko, mjane, akupe chakula.” 10 Basi akaondoka, akaenda Sarefathi, akafika kwenye mwingilio wa jiji; na tazama! mwanamke, mjane, alikuwa hapo akikusanya kuni. Basi akamwita na kumwambia yule mwanamke: “Tafadhali, niletee maji kidogo katika chombo ninywe.”+ 11 Mwanamke huyo alipoanza kwenda kuyaleta, akamwita na kumwambia: “Tafadhali, niletee kipande cha mkate+ mkononi mwako.” 12 Ndipo mwanamke yule akasema: “Kama anavyoishi Yehova Mungu wako,+ mimi sina keki yoyote ya mviringo,+ isipokuwa mkono mmoja tu+ wa unga katika mtungi mkubwa na mafuta kidogo+ katika mtungi mdogo; na tazama, ninakusanya kuni chache, nami nitaenda kutayarisha kitu kwa ajili yangu na mwanangu, nasi tutakula chakula hicho na kufa.”+

13 Ndipo Eliya akamwambia: “Usiogope.+ Nenda, fanya kulingana na neno lako. Ila tu unitayarishie kwanza keki ndogo ya mviringo kutokana na kile kilichopo,+ nawe uniletee hiyo, na unaweza kutayarisha kitu kwa ajili yako na mwana wako baadaye. 14 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Ule mtungi mkubwa wa unga hautamalizika, na ule mtungi mdogo wa mafuta hautapungua mpaka siku Yehova atakapoleta mvua juu ya uso wa nchi.’”+ 15 Basi akaenda na kufanya kulingana na neno la Eliya; na mwanamke yule akaendelea kula, yeye pamoja na Eliya na nyumba ya yule mwanamke, kwa siku nyingi.+ 16 Ule mtungi mkubwa wa unga haukumalizika, wala ule mtungi mdogo wa mafuta haukupungua,+ kulingana na neno la Yehova alilokuwa amesema kupitia Eliya.

17 Na ikawa kwamba baada ya mambo hayo mwana wa yule mwanamke, bimkubwa wa ile nyumba, akawa mgonjwa, na ugonjwa wake ukawa mkali sana hivi kwamba hapakuwa na pumzi iliyobaki ndani yake.+ 18 Ndipo akamwambia Eliya: “Nina nini nawe,+ Ee mtu wa Mungu wa kweli? Umekuja kwangu ili kurudisha kumbukumbu la kosa langu+ na kumuua mwanangu.” 19 Lakini akamwambia: “Nipe mwana wako.” Kisha akamchukua kutoka kifuani pake, akampeleka juu katika chumba cha darini,+ alipokuwa akikaa, akamlaza juu ya kitanda chake mwenyewe.+ 20 Naye akaanza kumwita Yehova na kusema: “Ee Yehova Mungu wangu,+ je, tena unaleta mabaya juu ya mjane ninayekaa naye kwa kumuua mwana wake?” 21 Naye akajinyoosha juu ya yule mtoto+ mara tatu na kumwita Yehova na kusema: “Ee Yehova, Mungu wangu, tafadhali, irudishe nafsi+ ya mtoto huyu ndani yake.” 22 Mwishowe Yehova akaisikiliza sauti ya Eliya,+ hivi kwamba nafsi ya yule mtoto ikarudi ndani yake, akawa hai.+ 23 Basi Eliya akamchukua mtoto huyo, akamshusha kutoka katika kile chumba cha darini, akamleta katika nyumba na kumpa mama yake; na kisha Eliya akasema: “Tazama, mwana wako yuko hai.”+ 24 Ndipo yule mwanamke akamwambia Eliya: “Kwa kweli sasa najua kwamba wewe ni mtu wa Mungu+ na kwamba neno la Yehova kinywani mwako ni la kweli.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki