Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini mfalme akasema: “Nina nini nanyi,+ enyi wana wa Seruya?+ Mwacheni alaani+ hivyo, kwa sababu Yehova amemwambia,+ ‘Mlaani Daudi!’ Basi ni nani anayepaswa kusema, ‘Kwa nini ulifanya hivyo?’”+

  • 2 Samweli 19:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Lakini Daudi akasema: “Nina nini nanyi,+ ninyi wana wa Seruya, kwamba muwe leo mpinzani+ wangu? Je, yeyote atauawa leo katika Israeli?+ Kwa maana, je, sijui vema kwamba leo mimi ni mfalme juu ya Israeli?”

  • 2 Wafalme 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Elisha akamwambia mfalme wa Israeli: “Nina nini nawe?+ Nenda kwa manabii+ wa baba yako na kwa manabii wa mama yako.” Lakini mfalme wa Israeli akamwambia: “Hapana, kwa maana Yehova amewaita wafalme hawa watatu ili kuwatia mkononi mwa Moabu.”+

  • Mathayo 8:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na, tazama! wakapaaza sauti, na kusema: “Tuna nini nawe, Mwana wa Mungu?+ Je, umekuja hapa kututesa+ kabla ya wakati uliowekwa?”+

  • Marko 1:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 akisema: “Tuna nini nawe, Yesu Mnazareti?+ Je, umekuja kutuangamiza? Ninajua+ wewe ni nani, Mtakatifu+ wa Mungu.”+

  • Yohana 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini Yesu akamwambia: “Nina nini nawe, mwanamke?+ Saa yangu haijafika bado.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki