10 Lakini mfalme akasema: “Nina nini nanyi,+ enyi wana wa Seruya?+ Mwacheni alaani+ hivyo, kwa sababu Yehova amemwambia,+ ‘Mlaani Daudi!’ Basi ni nani anayepaswa kusema, ‘Kwa nini ulifanya hivyo?’”+
22 Lakini Daudi akasema: “Nina nini nanyi,+ ninyi wana wa Seruya, kwamba muwe leo mpinzani+ wangu? Je, yeyote atauawa leo katika Israeli?+ Kwa maana, je, sijui vema kwamba leo mimi ni mfalme juu ya Israeli?”
13 Na Elisha akamwambia mfalme wa Israeli: “Nina nini nawe?+ Nenda kwa manabii+ wa baba yako na kwa manabii wa mama yako.” Lakini mfalme wa Israeli akamwambia: “Hapana, kwa maana Yehova amewaita wafalme hawa watatu ili kuwatia mkononi mwa Moabu.”+