Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “‘Kwa sababu hiyo, hili ndilo neno la Yehova Mungu wa Israeli: “Hakika nilisema, Nyumba yako na nyumba ya babu yako, watatembea mbele zangu daima.”+ Lakini sasa hili ndilo neno la Yehova: “Ni jambo lisilowaziwa kwangu, kwa sababu wale wanaoniheshimu+ nitawaheshimu,+ na wale wanaonidharau watahesabiwa kuwa si kitu.”+

  • Ezekieli 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Mwana wa binadamu, kuhusu wanaume hawa, wameleta sanamu zao za mavi juu ya mioyo yao, na kikwazo kinachosababisha kosa lao wamekiweka mbele ya nyuso zao.+ Je, watauliza hata kidogo juu yangu?+

  • 1 Wakorintho 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Hamwezi kuwa mkinywa kikombe cha Yehova+ na kikombe cha roho waovu; hamwezi kuwa mkishiriki “meza ya Yehova”+ na meza ya roho waovu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki