Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 “Na laana zote hizo+ hakika zitakujia na kukufuata na kukufikia mpaka utakapokuwa umeangamizwa,+ kwa sababu hukuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kushika amri zake na kanuni zake alizokuamuru.+

  • 2 Wafalme 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mwishowe akageuka nyuma, akawaona, naye akawalaani+ katika jina la Yehova. Ndipo dubu-jike+ wawili wakatoka katika vichaka, wakaanza kuwararua vipande-vipande watoto 42 kati yao.+

  • Ezekieli 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “ ‘Sasa, mtu mwadilifu anapogeuka na kuuacha uadilifu wake naye kwa kweli atende kwa njia isiyo ya haki;+ kulingana na machukizo yote ambayo mwovu ametenda yeye anaendelea kutenda+ naye anaishi, hakuna lolote la matendo yake ya uadilifu ambayo ametenda litakalokumbukwa.+ Atakufa kwa sababu ya ukosefu wake wa uaminifu ambao ametenda na kwa sababu ya dhambi ambayo ametenda.+

  • Malaki 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Nami pia, kwa upande wangu, nitawafanya mdharauliwe na kuwa wa hali ya chini kwa watu wote,+ kama vile ambavyo ninyi hamkuwa mkizishika njia zangu, lakini mlikuwa mkionyesha ubaguzi katika sheria.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki