Methali 14:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa sababu ya ubaya wake mwovu atasukumwa chini,+ lakini mwadilifu atakuwa akipata kimbilio katika utimilifu wake.+ Methali 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mtu anayeiacha njia ya ufahamu,+ atapumzika katika kutaniko la wale wasiojiweza katika kifo.+
32 Kwa sababu ya ubaya wake mwovu atasukumwa chini,+ lakini mwadilifu atakuwa akipata kimbilio katika utimilifu wake.+